Kabla Ya Kristo

Kabla ya kuzaliwa kwake Yesu Kristo (kifupi: KK) ni namna mojawapo ya kutaja miaka.

Kabla Ya Kristo
Uandishi wa "Anno Domini" katika kanisa kuu la Klagenfurt , Austria

Hesabu hii imekuwa njia ya kuhesabu miaka inayotumika zaidi duniani siku hizi.

Kila mwaka huhesabiwa kuanzia ule uliodhaniwa kuwa mwaka wa kuzaliwa kwake Yesu Kristo. Miaka iliyofuata kuzaliwa kwake hutajwa kwa kuongeza Baada ya Kristo au kifupi: BK.

Kuhusu historia ya hesabu hii tazama: Historia ya Hesabu "Kabla ya / Baada ya Kristo"

Kabla Ya Kristo Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kabla ya Kristo kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Orodha ya miji ya MarekaniUjasiriamaliKilimoTundaMkoa wa Unguja Mjini MagharibiVivumishi vya idadiSalaFasihi simuliziUwanja wa Taifa (Tanzania)SanaaRisalaOrodha ya viongoziSimbaRamadan (mwezi)Ligi ya Mabingwa AfrikaHadithi za Mtume MuhammadAfande SeleChawaAslay Isihaka NassoroUlayaWanyakyusaUhuru wa TanganyikaNdoo (kundinyota)Vidonge vya majiraSemantikiWanyama wa nyumbaniKanisa KatolikiUfugaji wa kukuVihisishiKamusiMazingiraKiambishi awaliIniMuungano wa Tanganyika na ZanzibarOrodha ya Watakatifu WakristoItifakiKhadija KopaMkondo wa umemeSkautiLionel MessiMeena AllyUpepoDini nchini TanzaniaUgonjwa wa kupoozaMamlaka ya Mapato ya TanzaniaMawasilianoTanganyika (ziwa)Jokate MwegeloRayvannyWaheheSiasaSakramentiBenderaAli Hassan MwinyiWashambaaLugha ya taifaMfumo wa JuaMendeManiiDiniPasaka ya KiyahudiLatitudoMakkaKuhani mkuuUtoaji mimbaMajina ya Yesu katika Agano JipyaAlama ya uakifishajiNimoniaSilabiWayahudiUsafi wa mazingiraAzimio la kaziKiunzi cha mifupa🡆 More