William Lukuvi (amezaliwa tar.
15 Agosti 1955) ni mbunge wa jimbo la Ismani katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania. Anatokea katika chama cha CCM.
Mhe. William Lukuvi Mb | |
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi | |
Aliingia ofisini 24 Januari 2015 | |
mtangulizi | Prof. Anna Tibaijuka |
---|---|
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera na Bunge | |
Muda wa Utawala 28 Novemba 2010 – Januari 2015 | |
mtangulizi | Philip Marmo |
aliyemfuata | Jenista Mhagama |
Mbunge wa Ismani | |
Aliingia ofisini Novemba 1995 | |
tarehe ya kuzaliwa | 15 Agosti 1955 Mapogoro, Tanganyika |
utaifa | Tanzanian |
chama | CCM |
mhitimu wa | TTC (Tabora) (Cert) Chuo Huria cha Tanzania |
dini | Mkristo |
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article William Lukuvi, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.