Shirikisho La Mpira Wa Kikapu Rwanda

Shirikisho la Mpira wa Kikapu Rwanda (Kingereza: Rwandan Amateur Basketball Federation, Kifaransa: Fédération Rwandaise de Basketball Amateur ) ni bodi inayosimamia mpira wa kikapu nchini Rwanda.

Inaendesha timu ya taifa ya mpira wa kikapu Rwanda vile vile NBL daraja la juu na ligi nyingine.

Historia

Mpira wa kikapu nchini Rwanda uliletwa mwaka 1930, Na mapadri wa kikatoloki pia mchezo wa kwanza ulichezwa katika shule ya upili uko Mkoa wa kusini. Baada ya nchi kupata uhuru mwaka 1962, timu mpya ziliundwa jeshini na baadhi ya taasisi za umma. Mwaka 1974, shirikisho la mpira wa kikapu Rwanda lilizaliwa na miaka mitatu mbele ligi ya kwanza kitaifa ilianzishwa.

Marejeo

Tags:

Mpira wa kikapuRwanda

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

KonyagiKiboko (mnyama)MwanaumeMethaliBabeliMadawa ya kulevyaMkoa wa MbeyaUsanifu wa ndaniMajigamboKilimoYesuOrodha ya miji ya TanzaniaMbuniHistoria ya KiswahiliFisiKiazi cha kizunguTabataUpendoLilithMahakama ya TanzaniaSiasaInsha za hojaBungeVipera vya semiMamaBawasiriAlama ya barabaraniWilaya ya TemekeUchaguziTaswira katika fasihiJay MelodyGongolambotoMeno ya plastikiNimoniaOrodha ya makabila ya TanzaniaUyahudiKonsonantiUKUTAKihusishiAlizetiAfrikaOrodha ya nchi za AfrikaZabibuMajira ya mvuaBidiiMaadiliTungo sentensiMnururishoUnyenyekevuKimara (Ubungo)NuktambiliMaudhuiMnyoo-matumbo MkubwaOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaManispaaArusha (mji)Mwamba (jiolojia)MuundoNdiziSamia Suluhu HassanVivumishi vya kuoneshaWachaggaInshaSakramentiHafidh AmeirKitenzi kikuu kisaidiziCristiano RonaldoUwanja wa Taifa (Tanzania)MasharikiMzabibuRose MhandoKamusi Hai ya Kiswahili MtandaoniJamhuri ya Watu wa ZanzibarJose ChameleoneMadini🡆 More