Msitu Mweusi

Msitu Mweusi ni eneo la milima katika jimbo la Baden-Württemberg la Ujerumani kusini magharibi.

Milima yafunikwa na misitu minene hivyo jina la eneo "msitu mweusi".

Msitu Mweusi
Ramani ya Msitu Mweusi

Safu za Milima Mweusi zaelekea sambamba na bonde la Rhine kuanzia mpaka wa nchi tatu za Uswisi, Ufaransa na Ujerumani kwenda kaskazini kwa kilomita 160.

Mlima mkubwa ni Feldberg mwenye kimo cha mita 1,493m.

Tags:

Baden-WürttembergUjerumani

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Mwana FAOrodha ya Marais wa TanzaniaUtapiamloUzalendoUtataMbwana SamattaMimba za utotoniJinaMkoa wa RukwaVivumishi ya kuulizaMkoa wa GifuShinikizo la juu la damuIdi AminOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoSilabiPonografiaMaishaMfumo wa mzunguko wa damuVielezi vya mahaliAngahewaOrodha ya Marais wa MarekaniSodomaBarua rasmiMagonjwa ya kukuJogooHistoria ya AfrikaMlongeTenziFutiHifadhi ya mazingiraZakaVivumishi vya -a unganifuMaambukizi nyemeleziKungumangaMazingiraSamliMkoa wa LindiTungo sentensiShengNathariOrodha ya makabila ya TanzaniaViola DavisKilimiaTwigaSumakuKamusiPombeWabena (Tanzania)CAFMWamasaiNabii IsayaOrodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watuUmaskiniUkomaBarua pepeKibena (Tanzania)Maana ya maishaWarangiHekimaHistoria ya MorokoChupiSalama JabirMoyoNamba za simu TanzaniaDhambiWaluguruBikira MariaKiongoziTreniVieleziKizunguzunguBendera ya EthiopiaMatendo ya MitumeNdoa katika UislamuHistoria ya Kiswahili🡆 More