Ludovic Minde (amezaliwa Kibosho, 9 Desemba 1952) ni askofu Mkatoliki nchini Tanzania.
Aliwekwa wakfu na Kardinali Polycarp Pengo mwaka wa 2001.
Tangu mwaka huo alikuwa askofu wa Jimbo la Kahama akimfuata mtangulizi wake askofu Matthew Shija.
Tarehe 2 Desemba 2019 alihamishiwa Jimbo la Moshi.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Ludovic Minde, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.