Benki ya Letshego Tanzania Limited, inajulikana kama Letshego Bank, ni benki ya biashara iliyopo Tanzania.
Imepewa dhamana ya kibenki na Benki Kuu ya Tanzania na bodi ya mifumo ya kibenki ya taifa.
Letshego Bank Tanzania ni benki ya kibiashara inayo ngozwa na Benki kuu ya Tanzania Dhumuni lake kijamii ni kutoa huduma inayokidhi na inayohitajika kifedha kwa watu wa chache, kundi dogo na kundi la watu wa kawaida wajasiriamali na kwa wale wachache waajiriwa wenye kipato kidogo. Pia inafanya kazi kama benki ndogo ya kifedha Kwa mwezi machi 2014 wamiliki waliongeza uwezo kwa €5.2 milioni (US $6.5 milioni au TZS 11.4 bilioni. Kwa muda huo wateja waliwekeza kiasi cha jumla ya €1.8 milioni au (US $2.23 sawa na TZS3.9 Bilioni) . Pia inakadiriwa kuwa jumla ya uwekezaji wote kwa mwez machi 2014 ni €7.0 milioni ( US $8.7 milioni au TZS 15.3 Bilioni.
Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Benki ya Letshego Tanzania Limited kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Benki ya Letshego Tanzania Limited, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.