Fungunyota (kwa Kiingereza star cluster) ni idadi ya nyota zinazokaa karibu katika anga-nje.
Zinashikamana kwa nguvu ya graviti. Fungunyota maarufu linaloonekana kwa macho ni Kilimia.
Kwa kutumia mitambo ya kisasa wataalamu wa astronomia wamekuta mafungunyota maelfu kadhaa lakini nyingi hazionekani kwa macho matupu au yanaonekana kama nyota ya kawaida tu.
Fungunyota ni tofauti na kundinyota. Katika kundinyota watu wanajumuisha nyota zinazoonekana kukaa karibu na kuwa na umbo maalumu wakitazama anga kwa macho, lakini hali halisi nyota hizo hazina uhusiano kati yao wala hazipo pamoja. Nyingine zipo karibu zaidi na Dunia na nyingine zipo mbali mno. Kinyume chake fungunyota ni kundi la nyota zilizopo karibu hali halisi.
Kwa jumla kuna aina mbili za fungunyota:
Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Fungunyota kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Fungunyota, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.