Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Kuna ukurasa unaoitwa "Savana" kwenye Wiki Kiswahili. Angalia pia matokeo mengine ya utafutaji yaliyopatikana.
Savana ni aina ya sura ya nchi yenye manyasi na kiasi kidogo cha miti ambacho kinategemea kiasi cha maji au mvua kinachopatikana. Tabia kuu ya savana... |
zinahesabiwa kuwa sehemu ya dunia ya Kiarabu. Sahel ni eneo mpito kati ya Sahara na tropiki ya Sudan na kusini zaidi, kwenye misitu ya tropiki-savana.... |
Calliphora vomitoria, Nzi Buluu (Blue bottle fly) Glossina morsitans, Ndorobo wa Savana (Savannah tsetse) Lucilia sericata, Nzi Kijani (Common green bottle fly)... |
ourebi) ni swala wadogo wenye miguu myembamba na shingo ndefu ambao wanatokea savana za Afrika kusini kwa Sahara. Taya wazima wana urefu wa sm 92–110, kimo cha... |
Mashariki Varanus a. ionidesi, Kenge Koo-jeusi Varanus exanthematicus, Kenge-savana (Savannah monitor) Varanus niloticus, Mburukenge (Nile monitor) Varanus... |
ni wanyamapori wa jenasi Taurotragus katika familia Bovidae. Wanatokea savana zenye miti katika Afrika. Wanyama hawa ni wakubwa kuliko spishi nyingine... |
buselaphus cokii lakini siku hizi nususpishi zote huitwa kongoni. Wanatokea savana za Afrika tu. Rangi yao ni ya mchanga lakini tumbo na matako ni nyeupe.... |
ya "llanos" ambayo ni nchi ya chini yenye joto ambayo ina sehemu mbili: savana kavu za Gran Chaco na misitu minene ya beseni ya Amazonas. Ziwa la Titicaca... |
hizi spishi na nususpishi zote za Connochaetes huitwa nyumbu. Wanatokea savana za Afrika tu. Rangi yao ni nyeusi pengine na mng'aro buluu au kahawia. Dume... |
ambazo zina majani madogo kuliko mkungu (Terminalia catappa). Inatokea savana na misitu ya Afrika ya tropiki. Spishi kadhaa, k.m. T. mantaly, hupandwa... |
ya Togo. Iko kwenye kaskazini ya nchi hiyo. Jina la Savanes linamaanisha Savana yaani eneo pakavu penye manyasi na miti kiasi tu. Mkoa wa Savanes una eneo... |
Hali ya hewa ni yabisi, kuna sehemu ambazo ni jangwa kabisa, nyinginezo savana yabisi. Wakazi ni hasa Wasomali. Kwa miaka mingi vikundi vya wanamgambo... |
mara nyingi. Majina mengine ni hirola, jimela, sasabi na tiang. Wanatokea savana za Afrika tu. Rangi yao ni ya mchanga inayoelekea nyekundu au kijivu mara... |
nyingine inaitwa palahala au mbarapi. Hawa ni wanyama wakubwa ambao wanatokea savana za Afrika zenye miti. Rangi ya madume ni kahawia hadi nyeusi, rangi ya majike... |
mungango au mmorula; jina la kisayansi: Sclerocarya birrea) ni mti mkubwa wa savana. Matunda yake huitwa mang'ong'o au morula. Mti huu haukuzwi kwa kawaida... |
Bovidae (kimo sm 30–40 begani, urefu sm 50–70 na uzito kg 3–6). Wanatokea savana kavu za Afrika kusini kwa Sahara. Jike ni mkubwa kidogo kuliko dume lakini... |
Malaconotidae na spishi pekee ya jenasi Nilaus. Anatokea maeneo makavu kiasi, savana yenye miti hasa. Dume ana utosi mweusi na paji jeupe, mchirizi mweupe juu... |
rangi ya machungwa chini. Wanatokea Madagascar tu katika misitu ya mvua au savana kavu. Hula wadudu. Bernieria madagascariensis, Kucha-bukini domo-refu (Long-billed... |
familia Muridae ambao wanatokea Afrika kusini kwa Sahara katika nyika na savana mpaka nyanda za juu. Panya-nyasi ni wakubwa kiasi. Urefu wa mwili ni sm... |
maeneo mengine yenye miti katika Afrika, Asia na Amerika, nyingine zinatokea savana na hata milima. Panthera leo, Simba (Lion) Panthera pardus, Chui (Leopard)... |