Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ingawa inajitawala katika mambo ya ndani. Hadi mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka... |
Kaskazini Pemba na Kusini Pemba Jiji la Zanzibar ambalo ni mji mkubwa wa Unguja na mji mkuu wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar Jina la filamu, vitabu, hoteli n.k... |
la Zanzibar ni mji mkubwa wa kisiwa cha Unguja na mji mkuu wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar. Pia ni wilaya katika Mkoa wa Unguja Mjini Magharibi wa Tanzania... |
Tanzania na ile ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ya mwaka 1964 iliyotumika kati ya mapinduzi ya Januari na muungano ya Zanzibar na Tanganyika wa tarehe 26 Aprili... |
Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume (IATA: ZNZ, ICAO: HTZA) ni kiwanja cha ndege cha Jamhuri ya Watu wa Zanzibar nchini Tanzania. Ilijulikana... |
huru ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ambayo yaliingia mkataba wa muungano mnamo mwaka 1964 na kuanzishwa dola la Jamhuri ya Muungano... |
ya Zanzibar inahusu historia ya eneo ambalo leo linaunda Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ambayo ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mabaki ya vifaa... |
Wawakilishi la Zanzibar hufanya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika Jamhuri ya Watu wa Zanzibar. Jukumu kuu la baraza ni kumshauri Rais wa Zanzibar, ambaye... |
Baraza la Wawakilishi wa Zanzibar ni bunge la Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ambayo ni sehemu ya Tanzania inayojitawala katika mambo mengi ya ndani. Baraza lilianzishwa... |
Kisiwa cha Pemba ambacho ni sehemu ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Makao makuu ya mkoa yako Chake Chake. Mkoa una... |
Mji Mkongwe (elekezo toka kwa Zanzibar Stonetown) Stone Town) ndio sehemu ya kale ya Jiji la Zanzibar, mji mkubwa wa kisiwa cha Unguja na mji mkuu wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar. Kama kitovu cha historia... |
la Zanzibar ni fungu la visiwa ambalo linapatikana katika Bahari ya Hindi. Funguvisiwa hilo linaunda nchi ya Zanzibar ambayo ni sehemu mojawapo ya Jamhuri... |
Amani Abeid Karume (Kusanyiko Wanasiasa wa Tanzania) wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar tangu mwaka wa 2000. Mwaka wa 2005 alichaguliwa mara ya pili. Baba yake, Abeid Amani Karume, alikuwa rais wa kwanza wa... |
wa Unguja Kaskazini ni mmojawapo kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye Postikodi namba 73000. Uko Unguja ambayo ni kisiwa kikubwa cha Jamhuri ya Watu wa... |
Pemba ambacho ni sehemu ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar katika Tanzania Pemba (Tarime) ni kata ya wilaya ya Tarime katka Mkoa wa Mara, Tanzania Pemba (Msumbiji)... |
Kizimbani ni jina la kata mbili za Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, Tanzania: Kizimbani (Unguja) Kizimbani (Wete)... |
Pemba (kisiwa) (Kusanyiko Zanzibar) Unguja katika Bahari Hindi. Visiwa vyote viwili ni sehemu za Jamhuri ya Watu wa Zanzibar katika Tanzania. Umbali na Tanganyika au Tanzania bara ni 50... |
Tanzania (elekezo toka kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) serikali kutafuta jina fupi zaidi kuliko "Jamhuri ya Tanganyika na Zanzibar". Mshindi alikuwa mwenyeji wa Dar es Salaam aliyeitwa Mohamed Iqbal Dar.... |
Tanganyika (elekezo toka kwa Jamhuri ya Tanganyika) iliungana na Zanzibar na kuwa sehemu ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Maeneo yaliyoitwa baadaye (1920) "Tanganyika" yaliunganishwa mara ya kwanza tangu... |
Ali Muhsin al-Barwani (Kusanyiko Watu wa Tanzania) wakati wa mamlaka ya Kiarabu baada ya Zanzibar kupata uhuru kutoka kwa mkoloni Muingereza na kabla ya Zanzibar kugeuka kuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar. Sheikh... |