Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Njia ya reli ni barabara maalumu iliyojengwa kwa ajili ya matumizi ya treni. Kwa kawaida njia hii hutengenezwa kwa kufunga pau mbili za feleji sambamba... |
Reli ya Tanganyika (pia: Reli ya Kati) ilikuwa jina la njia ya reli kuanzia Dar es Salaam kwenda Kigoma kwenye Ziwa la Tanganyika iliyojengwa katika miaka... |
njia ya reli ya kihistoria kati ya Mombasa na Uganda. Kwa habari za Shirika ya Reli ya Uganda ya kisasa tazama Uganda Railways Corporation. Reli ya Kenya-Uganda... |
mtandao mkubwa zaidi wa reli nchini Tanzania. Inaendesha hasa usafiri kwenye njia za reli zifuatazo katika Tanzania: Reli ya kati kuanzia Dar es Salaam... |
"reli" ni zile "reli za chuma" au reli za garimoshi ambazo kwa kawaida hutumiwa mbili-mbili kijozi kufanya njia ya reli yenyewe. Kwa nchi nyingi reli ni... |
Reli za garimoshi ni nondo au pau za feleji zenye umbo maalumu. Zinalazwa mbili-mbili juu ya boriti imara na kuunda njia ya reli ambako treni zinatembea... |
TAZARA (elekezo toka kwa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia) urefu wa kilomita 1,860. Njia ya reli ina upana sawa na reli za Zambia na Afrika Kusini lakini ni tofauti na njia za Reli ya Tanzania hivyo treni na magari... |
Geji sanifu (elekezo toka kwa Reli ya SGR) (yaani kipimo cha umbali kati ya pau mbili za njia ya reli) inayotumika zaidi duniani. Takriban asilimia 55 za njia zote za reli duniani zinatumia geji hii... |
Reli ya SGR Tanzania au Reli ya geji sanifu ya Tanzania ni mradi wa kuunganisha Tanzania na nchi jirani kwa njia ya reli ya geji sanifu yenye upana wa... |
Urefu ya reli ya SGR ya Kenya ni kilomita 472 na kuna stesheni tisa. Reli ya zamani ya Kenya ilijengwa wakati wa ukoloni. Ilikuwa hasa njia ya Reli ya Kenya-Uganda... |
Daraja la Reli la Kafue, lilijengwa ili kubeba njia ya reli ya Livingstone hadi Lusaka katika eneo ambalo sasa ni Zambia juu ya mto Kafue mwaka 1906.... |
Treni (Kusanyiko Reli) reli za garimoshi. Pia anaendesha hili jombo anaitwa nahodha. Treni inamaanisha jumla ya mabehewa inayovutwa au kusukumwa na injinitreni kwenye njia ya... |
Usafiri nchini Tanzania ni hasa kwa njia ya barabara. Nyingine ni reli na ndege. Kwenye maziwa makubwa na pwani ya Bahari Hindi kuna pia usafiri wa meli... |
Historia ya Nairobi, mji mkuu wa Kenya ni kama ifuatavyo. Nairobi ilianzishwa na Waingereza mwaka 1899 kama kambi ya kujenga Reli ya Uganda. Njia ya reli ilikuwa... |
Geji (Kusanyiko Reli) umbali kati ya pau mbili za feleji kwenye njia ya reli. Upana hupimwa baina ya pande za ndani za pau. Nchi nyingi hutumia geji sanifu ya milimita 1,435... |
cha mafuta ("barrel") kinagharamia dolar 5 kwa njia ya bomba lakini dolar 10-15 kwa njia ya reli. Kuna njia za bomba zinazoendelea kwa kilomita elfu kadhaa... |
Kalemie (Kusanyiko Mbegu za jiografia ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo) ilikuwa kwamba njia ya reli kutoka Atlantiki ingeishia hapa itakayoounganishwa kwa feri na bandari ya Kigoma penye chanzo cha reli ya Tanganyika kwenda... |
Magadi Soda Company (Kusanyiko Wilaya ya Kajiado) Magadi ambamo madini ya Trona yanapatiana. Kwenye kampuni madini ya trona yanageuzwa kuwa Soda jivu kisha inasafirishwa kwa njia ya reli kwenda Mombasa ambako... |
Tabora (mji) (elekezo toka kwa Wilaya ya Tabora) Tabora. Reli inapeleka abiria na mizigo kutoka Tabora kwenda Dar es Salaam, Kigoma na Mwanza kwa kutumia mkono wa kaskazini wa njia ya reli iliyojengwa... |
Mpanda (mji) (elekezo toka kwa Wilaya ya Mpanda mjini) ulikuwa na shida wakati wa mvua. Kuna njia ya reli kutoka huko hadi Kaliua inapoungana na Reli ya Kati. Safari ya reli hadi Tabora inachukua masaa 10 - 12... |