Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Afrika ya Mashariki ni sehemu ya bara la Afrika ambayo iko upande wa mashariki, ikipakana na Bahari ya Kihindi. Kadiri ya Umoja wa Mataifa Afrika ya Mashariki... |
Jumuiya ya Afrika Mashariki au Mtangamano wa Afrika Mashariki (kwa Kiingereza East African Community, kifupi EAC) ni muundo wa kisiasa unaounganisha nchi... |
Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki (Kiing. East African Rift Valley) ni maumbile ya kijiolojia yanayoanza katika Mashariki ya Kati na kuendelea hadi Msumbiji... |
Afrika ya Mashariki ya Kijerumani (au: ya Kidachi; kwa Kijerumani Deutsch-Ostafrika -DOA-; kwa Kiingereza German East Africa) ilikuwa jina la koloni la... |
ikaanzisha koloni ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani. (kwa habari za undani tazama Karl Peters#Peters alianzisha Afrika ya Mashariki ya Kijerumani) Kampuni... |
Afrika ya Mashariki ya Kiingereza (kwa Kiingereza British East Africa Protectorate) lilikuwa jina la eneo la Kenya lililowekwa chini ya utawala wa ulinzi... |
Afrika Mashariki katika miaka 1800-1845 ilikuwa na mabadiliko makubwa kama ifuatavyo. Jumuiya za pwani zilikuwa zimetengana, kila moja ikiwa huru kutoka... |
Kampeni za Afrika ya Mashariki zilikuwa mfululizo wa mapigano ya kivita yaliyotokea Afrika ya Mashariki ya Kijerumani (Tanganyika, Rwanda na Burundi ya leo)... |
Rupia ya Afrika Mashariki ya Ujerumani ilikuwa pesa rasmi ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani kati ya 1890 na 1916 ikatumika katika Tanganyika hadi 1920... |
huhesabiwa kuwa sehemu zake: Afrika ya Kati kwa maana ya mpangilio ya UM ni nchi kusini ya jangwa Sahara, mashariki ya Afrika ya Magharibi na upande wa magharibi... |
ya Mashariki katika orodha ya UM. Malawi, Zambia na Zimbabwe – wakati mwingine zinehesabiwa kuwa sehemu ya Afrika ya Kusini au ya Afrika ya Mashariki -... |
Saa za Afrika Mashariki (kwa Kiingereza: East Africa Time, kifupi: EAT) ni kanda muda inayotumika katika Afrika ya Mashariki. Iko katika kanda ya UTC +3... |
Kampuni ya Kifalme ya Kiingereza kwa Afrika ya Mashariki (Imperial British East Africa Company; kifupisho: IBEAC) ilikuwa shirika lililoanzisha koloni... |
Milima ya Ufa Mashariki au Milima ya Afrika Mashariki ni safu mbili za milima ya eneo la Maziwa makubwa ya Afrika, katika nchi za Kenya, Uganda, Tanzania... |
Pembe ya Afrika ni jina la sehemu ya mashariki kabisa ya bara la Afrika yenye umbo la pembetatu; ni kama rasi iliyoko kati ya Ghuba ya Aden na Bahari Hindi... |
Wizara ya Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki (Kiingereza: Ministry of East African Cooperation kifupi (MEAC)) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi... |
ya masafa marefu ya Afrika Mashariki ni jina la kutaja aina ya biashara iliyokuwa ikifanyika kutoka katika pwani hadi ndanindani ya Afrika Mashariki.... |
Mashariki ya Kati (kwa Kiingereza Middle East) ni namna ya kutaja sehemu kubwa ya Asia ya Magharibi pamoja na Afrika ya kaskazini-mashariki, hasa Misri... |
Jumuiya Afrika Mashariki (kwa Kiingereza: EAC Anthem) ni wimbo wa taifa wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Jina linatokana na maneno ya kwanza ya kiitikio... |
Lugha za Afrika Zaidi ya lugha elfu za Kiafrika zinazungumzwa barani leo, ingawa nyingi zinazidi kufifia. Kusini mwa Afrika, Afrika Mashariki na ya Kati watu... |