Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Kuna ukurasa unaoitwa "Mofimu" kwenye Wiki Kiswahili. Angalia pia matokeo mengine ya utafutaji yaliyopatikana.
Mofimu ni kipashio kidogo kuliko vyote katika lugha chenye maana ya kisarufi /kileksika. Mofimu katika sarufi ni jina la sehemu ndogo kabisa yenye kuwakilisha... |
ambatano 3. Shina changamano 1. Shina sahili ni aina ya shina lililoundwa kwa mofimu moja tu. Mfano: Baba, Mama n.k. 2. Shina ambatano ni aina ya shina lililoundwa... |
alomofu na mofimu. Ndiyo maana fasili ya alomofu kwa maana ya kikamusi inaweza kuwa: 1. Umbo jingine la mofimu ileile 2. Aina mbalimbali za mofimu moja Ukiangalia... |
vitano - navyo ni: Mofimu --> Neno --> --> Kirai --> Kishazi --> Sentensi. Katika namna ya kutaja au kutumia vipashio, ngazi ya mofimu ni ndogo kuliko neno... |
fulani. Neno linaweza kuwa fupi lenye mofimu (yaani sauti inayowakilisha maana fulani) moja tu au kuwa ndefu lenye mofimu mbalimbali. Kwa kawaida ni muunganiko... |
Wewe ni mwalimu Nyinyi ni walimu Yeye ni mwalimu Wao ni walimu Hizi ni mofimu tegemezi/vipande vya maneno vinavyoambikwa/vinavyoambatanishwa katika neno... |
maneno ya lugha fulani na aina zake za maneno, hasa upande wa upangaji wa mofimu mbalimbali zitumikazo kwa ajili ya kuunda maneno. Mofolojia ni taaluma ya... |
ambayo yamejikita katika mofimu za -ye, -nge, -ngeli, -ngali, na -ki- ya masharti. Mofimu hizi hazichanganywi. Kama utatumia mofimu ya -nge- upande wa kwanza... |
Kiambishi awali ni kipande cha neno au mofimu tegemezi inayokaa kabla ya mzizi wa neno. Kwa mfano, neno "anavyolimiwa" mzizi wake ni Lim, na shina hapo... |
changamano. 4. Sentensi shurutia - Hii ni aina ya sentensi iliyoundwa kwa mofimu za masharti, mfanoː ki, nge, ngeli pamoja na ngali. Njia za uchanganuzi... |
kiisimu ni: t) ni maneno ambayo yamekamilika, yaani, hayaambatanishwi na mofimu/ kiambishi / silabi / neno au kitenzi kingine. Vitenzi hivi pia hugawanyika... |
kutumia maneno bila kuzingatia mazingira au muktadha unaohusika, kuwepo kwa mofimu ya hali ya kutenda. Katika lugha kuwe na mkazo tofauti ili kutofautisha... |
kukitumia Kiswahili kwa kuongea na kuandika. Lugha huundwa na: i. Sauti ii. Mofimu iii. Neno na iv. Sentensi Huwa mbili: i. Irabu ii. Konsonanti -->Irabu ni... |
kifonetiki hutokea kwa kiasi kidogo. Tashdidi hupatikana katika maneno na mofimu wakati konsonanti ya mwisho katika neno fulani na konsonanti ya kwanza katika... |
kila mchakato huwa na sheria zake: kuunganisha fonimu kuunda mofimu, kuunganisha mofimu kuunda maneno na kuunganisha maneno kuunda sentensi. Hii ni kumaanisha... |