Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Hekalu la Yerusalemu lilikuwa kitovu cha ibada za dini ya Uyahudi wakati wa Israeli ya Kale. Kwa jumla kulikuwa na majengo mawili yaliyofuatana kwenye... |
mfano katika Uislamu jengo la ibada linaitwa msikiti. Katika Biblia lina umuhimu wa pekee hekalu la Yerusalemu, lililojengwa kwanza na mfalme Sulemani, mwana... |
kuangamiza Yerusalemu na hekalu lake (70). Habari hizo zilisimuliwa hasa na mwanahistoria Yosefu Flavius. Wiki Commons ina media kuhusu: Vita vya kwanza vya... |
Kitabu cha Ezra (Kusanyiko Vitabu vya Agano la Kale) Waajemi. Mwaka 587 KK mfalme wa Babeli alikuwa amevamia mji wa Yerusalemu, kubomoa hekalu la Sulemani na kumaliza ufalme wa Yuda. Wakazi walipelekwa Mesopotamia... |
Ezra (Kusanyiko Manabii wa Agano la Kale) jimbo la milki ya Uajemi. Koreshi aliwaruhusu Wayahudi waliopenda warudi Yerusalemu na kujenga upya hekalu. Muda mfupi baada ya kufika Yerusalemu, Wayahudi... |
nane inayopendwa katika familia. Ni kumbukumbu ya kuweka wakfu upya hekalu la Yerusalemu kwenye mwaka 165 KK. Inasheherekewa tarehe 25 mwezi wa Kislevu inayotokea... |
Habari za kwanza zinapatikana kutoka kwa Eusebi wa Kaisarea (275 – 339) aliyeandika ya kwamba mahali pa kaburi la Yesu lilifunikwa na hekalu la Apolo, mungu... |
Nabii Hagai (Kusanyiko Manabii wa Agano la Kale) Zekaria ujenzi mpya wa hekalu la Yerusalemu baada ya Wayahudi kurudi toka uhamisho wa Babeli. Hatimaye kazi hiyo ilikamilika na hekalu likatabarukiwa mwaka... |
kutekeleza agizo la gombo lililopatikana mwaka 622 KK likidai sadaka zote zitolewe katika hekalu la Yerusalemu tu, kadiri ya msimamo wa Kumbukumbu la Torati: "Mungu... |
Solomoni aliyemfuata madarakani. Kina pia maelezo kuhusu ujenzi wa hekalu la Yerusalemu. Kinachofuata ni habari za ugawaji wa milki kuwa madola mawili yaani:... |
Huko Amerika Kusini, ustaarabu wa Olmec unadumaa. 515 KK: Ujenzi wa Hekalu la Yerusalemu unakamilika: litadumu hadi mwaka 70 BK. 510 KK: Wa mwisho kati ya... |
KK: Nabopolasar anaanzisha ufalme mpya wa Babuloni. 622 KK: Katika hekalu la Yerusalemu kinapatikana kitabu cha sheria ya Musa kutoka Israeli kaskazini.... |
Nabii Zekaria (Kusanyiko Manabii wa Agano la Kale) Kristo. Tofauti na Hagai, Zekaria hakuishia upande wa ujenzi mpya wa hekalu la Yerusalemu, bali alisisitiza pia utakaso wa waamini na ibada zao. Tangu kale... |
Kitabu cha Ezekieli (Kusanyiko Vitabu vya Agano la Kale) binadamu. Baada ya maangamizi ya Yerusalemu, polepole Wayahudi waliohamishiwa Babeli waliweza kujitafutia kazi (kwanza kilimo, halafu biashara), wakafaulu... |
alipoingia mara ya kwanza aliita, "Suleimani, nimekushinda", akimfikiria mfalme Suleimani wa Israeli ya Kale aliyejenga hekalu la Yerusalemu. Mwaka 1453 Waturuki... |
Nabii Hulda (Kusanyiko Manabii wa Agano la Kale) kwamba, wakati wa mfalme Yosia, walipokuwa wanarekebisha na kutakasa hekalu la Yerusalemu, waliokota kitabu cha Sheria ya Mungu wakakipeleka kwa mfalme aliyeagiza... |
Kitabu cha Yeremia (Kusanyiko Vitabu vya Agano la Kale) Babeli waliwashinda Waashuru na kueneza utawala wao hadi kuteketeza Yerusalemu na hekalu lake. Katikati ya matukio hayo yote, Yeremia alipewa kazi ngumu ya... |
hiyo aliletwa na Yosefu na Maria katika hekalu la Yerusalemu ili atolewe kwa Mungu, akiwa mtoto wa kiume wa kwanza, akakombolewa kwa sadaka ya fukara. Ndipo... |
Mambo ya Nyakati (Kusanyiko Vitabu vya Agano la Kale) Haruni na hekalu la Yerusalemu. 1:1-9:34 Orodha za vizazi (nasaba) vya makabila ya Israeli 9:35-22:1 Utawala wa Daudi 22:2-29:30 Maandalizi kwa hekalu 1:1-9:31... |
sana habari za Mwanae (Lk 2:19, 51), alivyomtoa kwa Mungu katika hekalu la Yerusalemu siku arubaini baadaye (Lk 2:22-38), alivyomuonyesha kwa mamajusi... |