Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Kwa samaki anayeitwa kwa Kiswahili "papa" tazama papa (samaki) Papa (neno la mkopo kutoka Kilatini lakini lenye asili ya Kigiriki, πάππας, pappas, jina... |
Papa Antero alikuwa Papa kuanzia tarehe 21 Novemba 235 hadi kifo chake tarehe 3 Januari 236. Alikuwa na asili ya Ugiriki. Alimfuata Papa Ponsyano akafuatwa... |
Italia, lakini alikuwa Mwostrogoti, Papa wa kwanza mwenye asili ya Kigermanik. Alimfuata Papa Felisi IV akafuatwa na Papa Yohane II. Aliteuliwa na mtangulizi... |
Papa Telesphorus alikuwa Papa kuanzia takriban 127/128 hadi kifo chake takriban 137/138. Alikuwa na asili ya Ugiriki. Alimfuata Papa Sixtus I akafuatwa... |
Papa Stefano I alikuwa Papa kuanzia tarehe 12 Machi 254 hadi kifodini chake tarehe 2 Agosti 257. Alitokea Roma, Italia, ingawa aliweza kuwa na asili ya... |
Papa Evaristus (pia: Aristus) alikuwa Papa kwa miaka tisa kuanzia takriban 96/99 hadi kifo chake takriban 108. Alikuwa na asili ya Ugiriki. Alimfuata... |
Italia, labda akiwa na asili ya Balkani. Jina la baba yake lilikuwa Polichronios. Alimfuata Papa Gregori III akafuatwa na Papa Stefano II. Anasifiwa sana... |
Papa Zosimus alikuwa Papa kuanzia tarehe 18 Machi 417 hadi kifo chake tarehe 26 Desemba 418. Alikuwa na asili ya Ugiriki. Alimfuata Papa Innocent I akafuatwa... |
Papa Gelasio I alikuwa Papa kuanzia tarehe 1 Machi 492 hadi kifo chake tarehe 21 Novemba 496. Alikuwa Papa wa tatu mwenye asili ya Afrika kaskazini. Alimfuata... |
Pontificalis, Miltiades alikuwa na asili ya Afrika, ingawa aliweza pia kuwa mtu wa Roma. Alimfuata Papa Eusebius akafuatwa na Papa Silvester I. Alifurahia amani... |
Papa Klementi XI (23 Julai 1649 – 19 Machi 1721) alikuwa Papa kuanzia tarehe 23/30 Novemba/8 Desemba 1700 hadi kifo chake. Alitokea Urbino, Italia. Jina... |
Kukingiwa dhambi ya asili ni fundisho rasmi la Kanisa Katoliki kuhusu Bikira Maria, kwamba alitungwa mimba bila kurithi dhambi ya asili. Alipewa na Mungu... |
ya Bikira Maria Kukingiwa Dhambi ya Asili. Pia aliandika nyaraka 38 kuhusu masuala mbalimbali. Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri tarehe... |
Papa Paulo VI (26 Septemba 1897 – 6 Agosti 1978) alikuwa Papa kuanzia tarehe 21/30 Juni 1963 hadi kifo chake. Alitokea Concesio, Brescia, Italia. Jina... |
Papa Yohane Paulo II (kwa Kilatini: Ioannes Paulus PP. II; kwa Kiitalia: Giovanni Paolo II; kwa Kipolandi: Jan Paweł II; kwa Kiingereza: John Paul II;... |
Papa Leo I (Italia ya kati, 400 hivi – Roma, Italia, 10 Novemba 461) alikuwa Papa kwa muda mrefu, kuanzia 29 Septemba 440 hadi kifo chake, wakati usalama... |
Papa mbingusi, mbingusi au papa nyundo ni kundi la papa katika familia Sphyrnidae. Jina la tatu imepewa kwa ajili ya muundo usio wa kawaida na kipekee... |
juhudi za Papa Pius X na halafu Papa Benedikto XV). Urekebisho wake uliagizwa na Papa Yohane XXIII tarehe 25 Januari 1959 ukashughulikiwa na Papa Paulo VI... |
Mungu kwa maombezi ya mtumishi wake baada ya kifo chake. Asili ya hatua hiyo ni karne XIV ambapo Papa alianza kukubali marehemu aheshimiwe kwa namna ya pekee... |
Wakonsesyoni (elekezo toka kwa Shirika la Kukingiwa Dhambi ya Asili) malkia ili itumike kuheshimu Kukingiwa Dhambi ya Asili Bikira Maria. Mwaka 1489, kwa ruhusa ya Papa Innocent VIII, walipokea sheria za Wasitoo, wakiahidi... |