Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
mkuu ni Josef Pühringer (ÖVP). Austria Chini imepakana na majimbo ya Ujerumani ya Salzburg, Steiermark na Austria Chini. Miji mikubwa ni pamoja na Linz na... |
Johanna Mikl-Leitner (ÖVP). Austria ya Chini imepakana na Ujerumani na majimbo ya Austria Juu, Steiermark, Burgenland na Vienna. Miji mikubwa ni pamoja na Sankt... |
Hii ni orodha ya Majimbo ya Austria: Wilaya za Austria Orodha ya miji ya Austria ISO 3166-2:AT Wiki Commons ina media kuhusu: Majimbo ya Austria... |
kucheza ski. Makala kuu: Majimbo ya Austria Makala kuu: Orodha ya miji ya Austria Hali halisi kuna jiji moja tu ambalo ni mji mkuu Wien (Vienna). Ulikua... |
Hii ni orodha ya miji ya nchi ya Austria yenye angalau idadi ya wakazi 10,000 (2007). Austria http://www.statistik.at/web_de/statistiken/regionales/re... |
Steiermark (Kusanyiko Mbegu za jiografia ya Austria) Steiermark imepakana na majimbo ya Austria ya Karinthia, Salzburg, Austria Juu, Austria Chini na Burgenland. Miji mikubwa ni pamoja na Graz na Leoben... |
Shirikisho la Jamhuri ya Austria Moscow na Sankt Petersburg ndani ya shirikisho la Urusi, Addis Ababa na Dire Dawa ambayo ni miji ya kujitawala (astedader... |
wanaozidi kupungua. Imepakana na Austria, Slovakia, Ukraine, Romania, Serbia, Kroatia na Slovenia. Mji mkuu ni Budapest. Miji mingine muhimu ni Miskolc, Debrecen... |
Karinthia (Kusanyiko Mbegu za jiografia ya Austria) Peter Kaiser (SPÖ). Karinthia imepakana na majimbo ya Austria ya Tirol, Salzburg na Steiermark. Miji mikubwa ni pamoja na Klagenfurt na Villach. Drava na... |
Ulaya ya Kati yenye wakazi milioni tano na nusu. Imepakana na Ucheki, Austria, Poland, Ukraine na Hungaria. Slovakia imekuwa nchi mwanachama wa Umoja... |
Vorarlberg (Kusanyiko Mbegu za jiografia ya Austria) Vorarlberg ni moja ya majimbo 9 ya kujitawala ya Austria lenye wakazi 372,791 kwenye eneo la km² 2,601. Mji mkuu ni Bregenz. Waziri mkuu ni Herbert Sausgruber... |
Vienna (Kusanyiko Miji ya Austria) Vienna (kwa Kijerumani: Wien) ni mji mkuu na mji mkubwa wa Austria. Uko mashariki mwa nchi, kando ya mto Danubi. Idadi ya wakazi imezidi milioni moja... |
na Austria ni Kaisari wa Austria aliyekuwa na cheo cha mfalme wa Krotia hadi vita kuu ya kwanza ya dunia (1914-1918). Mwaka 1918 Dola la Austria liliporomoka... |
shemu za Ujerumani baada ya Mkutano wa Vienna 1815 hadi vita ya Prussia na Austria ya 1866. Nchi hizi ziliwahi kuwa sehemu za Dola Takatifu la Kiroma hadi... |
miji. Tangu 1797 hadi 1918 Dalmatia ilikuwa jimbo la Milki ya Austria, baadaye Austria-Hungaria. Baada ya 1918 imekuwa sehemu ya Kroatia ndani ya Yugoslavia... |
Austria na Hungaria chini ya mtawala yeye yule mwenye vyeo vya Kaisari wa Austria na Mfalme wa Hungaria na milki ikaitwa "Austria-Hungaria". Austria-Hungaria... |
Linz (Kusanyiko Miji ya Austria) Linz ni mji mkuu wa Austria Juu nchini Austria. Iko karibu na ziwa kubwa la Danubi kama 266 m juu ya UB. Idadi ya wakazi wake ni takriban 189.000. Wikimedia... |
Sankt Pölten (Kusanyiko Miji ya Austria) Sankt Pölten (St. Pölten) ni mji mkuu wa Austria ya Chini nchini Austria. Idadi ya wakazi wake ni takriban 51.000. Wiki Commons ina media kuhusu:... |
ulikuwa mkutano wa kimataifa wa nchi za Ulaya uliofanyika mjini Vienna (Austria) kati ya 18 Septemba 1814 hadi 9 Juni 1815. Maazimio ya mkutano huu yalichora... |
Kijerumani (Kusanyiko Lugha za Austria) nchi za Ujerumani, Austria, Uswisi, Liechtenstein na Luxemburg. Kuna pia wasemaji asilia katika nchi jirani za Ujerumani / Austria kama Ubelgiji, Uholanzi... |