Yerusalemu

Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya

Kuna ukurasa unaoitwa "Yerusalemu" kwenye Wiki Kiswahili. Angalia pia matokeo mengine ya utafutaji yaliyopatikana.

Tazama (20 zilizotangulia | ) (20 | 50 | 100 | 250 | 500)
  • Thumbnail for Yerusalemu
    Yerusalemu (kwa Kiebrania ירושלים, Yerushalayim; pia: Kudisi kutoka Kiarabu: القدس, al-Quds) ni mji wa Mashariki ya Kati wenye pande mbili. Kwa upande...
  • Thumbnail for Yerusalemu ya Mashariki
    Yerusalemu ya Mashariki ni ile sehemu ya mji wa Yerusalemu iliyotawaliwa na Yordani kati ya 1948 na 1967 halafu kutwaliwa na Israel wakati wa vita ya siku...
  • Thumbnail for Hekalu la Yerusalemu
    Hekalu la Yerusalemu lilikuwa kitovu cha ibada za dini ya Uyahudi wakati wa Israeli ya Kale. Kwa jumla kulikuwa na majengo mawili yaliyofuatana kwenye...
  • Thumbnail for Sirili wa Yerusalemu
    Sirili wa Yerusalemu (kwa Kigiriki Κύριλλος Α΄ Ἱεροσολύμων; 315 – 386 au 387) alikuwa askofu wa mji huo nchini Israeli kuanzia mwaka 348 hadi kifo chake...
  • Thumbnail for Zakayo wa Yerusalemu
    Zakayo wa Yerusalemu (alifariki 116/134) kwa asili alikuwa Myahudi akawa askofu wa nne wa Yerusalemu kuanzia mwaka 111 hadi kifo chake. Tangu kale anaheshimiwa...
  • Thumbnail for Sofroni wa Yerusalemu
    Sofroni wa Yerusalemu (Damasko, Syria, 560 hivi - Yerusalemu, Israeli/Palestina, 11 Machi 638) alikuwa askofu wa Yerusalemu kuanzia mwaka 634 hadi kifo...
  • Thumbnail for Anjelo wa Yerusalemu
    Anjelo wa Yerusalemu, O.Carm. (Yerusalemu, leo Israeli/Palestina, 1185 – Licata, Sicilia, Italia, 1220) alikuwa mtawa na padri aliyefia dini. Anaheshimiwa...
  • Thumbnail for Marko wa Yerusalemu
    Marko wa Yerusalemu (alifariki 185) alikuwa askofu wa kwanza wa Yerusalemu ambaye kwa asili hakuwa Myahudi kuanzia mwaka 134, wakati ambapo mji huo ulijengwa...
  • Thumbnail for Mtaguso wa Yerusalemu
    Mtaguso wa Yerusalemu au Mtaguso wa mitume ni jina linalotumika kwa mkutano uliofanyika mwaka 49 au 50 ili kuondoa tofauti za misimamo kati ya Wakristo...
  • Thumbnail for Aleksanda wa Yerusalemu
    Aleksanda wa Yerusalemu (Kapadokia, leo nchini Uturuki, karne ya 2 – Kaisarea Baharini, leo nchini Israeli 251 hivi) alikuwa askofu wa Yerusalemu kwa miaka...
  • Yohane II wa Yerusalemu (356 hivi – 10 Januari 417) alikuwa Patriarki wa Yerusalemu kuanzia mwaka 387 hadi kifo chake. Alishika nafasi ya Sirili aliyefariki...
  • Atanasi wa Yerusalemu (alifariki Yerusalemu, Palestina, 452 hivi) alikuwa shemasi wa Kanisa la Kaburi na Ufufuo wa Yesu katika jimbo la huko. Aliteswa...
  • Thumbnail for Karne ya 10 KK
    967 KK: Huko Yerusalemu Solomoni anakuwa mfalme wa Israeli badala ya baba yake, Daudi. 965 KK: Kifo cha mfalme Daudi mjini Yerusalemu 925 KK: Kifo cha...
  • Thumbnail for Makari wa Yerusalemu
    Makari wa Yerusalemu (alifariki 335 hivi) alikuwa askofu wa Yerusalemu kuanzia mwaka 312 hadi kifo chake. Alishiriki Mtaguso wa kwanza wa Nisea (325) na...
  • Matia wa Yerusalemu (alifariki 120 hivi) kwa asili alikuwa Myahudi akawa askofu wa Yerusalemu kuanzia mwaka 113 hivi hadi kifo chake. Alishika nafasi ya...
  • Thumbnail for Karne ya 6 KK
    yaliyotangulia. Ufalme wa Yuda unakoma mwaka 586 KK, Nebukadneza II alipoteka Yerusalemu na kuhamisha Wayahudi hadi Babuloni. Koreshi Mkuu, mara baada ya kushinda...
  • Thumbnail for Modesti wa Yerusalemu
    Modesti wa Yerusalemu (Sivas, Kapadokia, leo nchini Uturuki, karne ya 6 – 17 Desemba 630) alikuwa askofu wa mji huo nchini Israeli. Kabla ya hapo aliuzwa...
  • Thumbnail for Alberto wa Yerusalemu
    Alberto wa Yerusalemu (alizaliwa Castel Gualtieri, Italia, karne ya 12 - alifariki Akka, Israeli, 14 Septemba 1214) alikuwa kwanza kanoni, halafu askofu...
  • Masimo wa Yerusalemu (alifariki 350 hivi) alikuwa askofu wa Yerusalemu kuanzia mwaka 333 hivi hadi kifo chake. Wakati wa dhuluma ya kaisari Maximinus Daia...
  • Thumbnail for Narsisi wa Yerusalemu
    Narsisi wa Yerusalemu (99 - 216) alikuwa askofu wa 30 wa Yerusalemu, uliokuwa umejengwa upya kama mji wa Kipagani, kuanzia uzee mkubwa hadi kifo chake...
Tazama (20 zilizotangulia | ) (20 | 50 | 100 | 250 | 500)

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Mji mkuuTanzaniaMagavanaAMichezoUgonjwa wa kuharaUtawala wa Kijiji - TanzaniaNishatiNomino za wingiOrodha ya Marais wa KenyaLahajaMkoa wa ManyaraUrusiKusiniYoung Africans S.CNomino za jumlaVivumishiJiniChakulaMaambukizi nyemeleziLGBTMziziUtapiamloJakaya KikweteJumuiya ya MadolaRaila OdingaUaMkoa wa MtwaraMimba kuharibikaUtoaji mimbaMavaziMbuga za Taifa la TanzaniaDayolojiaUmoja wa MataifaMfupaJumapili ya matawiSimba S.C.PanziAfrika ya Mashariki ya KijerumaniMalariaRayvannyMvuaKiumbehaiMkoa wa MorogoroBabeliUajemiUti wa mgongoDaniel Arap MoiNairobiVita vya KageraMuhammadTabianchi ya TanzaniaFacebookNahauGhubaMjasiriamaliUchimbaji wa madini nchini TanzaniaViwakilishi vya idadiMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMkoa wa Dar es SalaamLibidoHifadhi ya mazingiraMariooMbonoWamasaiJokate MwegeloInjili ya MathayoUwanja wa Taifa (Tanzania)HedhiChe GuevaraMnyamaKenyaKipindupinduOrodha ya Marais wa ZanzibarMajiTai (maana)Vivumishi vya ambaNetiboliMbwa🡆 More