Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Msumbiji (kwa Kireno: Moçambique) ni nchi ya Afrika ya Kusini-Mashariki. Msumbiji iko ufukoni mwa Bahari Hindi ikipakana na Tanzania, Malawi, Zambia,... |
Ansar al-Sunna Msumbiji (kwa Kiar. أنصار السنة, 'Wasaidizi wa mapokeo'), wanaojulikana pia kama al-Shabaab, Ahlu al-Sunna, Wasunna Waswahili, na Ahlu Sunna... |
Kiyao (Kusanyiko Lugha za Msumbiji) Kiyao (au Ciyao) ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania, Malawi na Msumbiji inayozungumzwa na Wayao. Mwaka wa 2001 idadi ya wasemaji wa Kiyao nchini Malawi... |
Kingoni (Kusanyiko Lugha za Msumbiji) Kingoni ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania na Msumbiji inayozungumzwa na Wangoni. Kimetokana na lugha ya Kizulu Wangoni walipohama Afrika ya Kusini wakati... |
Kimakhuwa-Meetto (Kusanyiko Lugha za Msumbiji) ya Kibantu nchini Msumbiji na Tanzania inayozungumzwa na Wamakua. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kimakhuwa-Meetto nchini Msumbiji imehesabiwa kuwa... |
Kimakonde (Kusanyiko Lugha za Msumbiji) Kimakonde ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania na Msumbiji inayozungumzwa na Wamakonde. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kimakonde... |
Mto Lugenda (pia Lujenda au Msambiti) ni mto unaotiririka kaskazini mwa Msumbiji. Unaanza kwenye Ziwa Amaramba/Ziwa Chiuta na kuishia katika Mto Ruvuma... |
Vyakula vya Msumbiji vimeathiriwa sana na Wareno, ambao walianzisha mazao mapya, vionjo, na mbinu za kupika. Chakula kikuu cha watu wengi wa Msumbiji ni xima... |
Ligi ya Wanawake ya Msumbiji, pia inajulikana kwa kifupi chake LIFEMO, ilikuwa shirika lililounganishwa na FRELIMO (Msumbiji Liberation Front), iliyoanzishwa... |
Ruvuma ni mpaka kati ya Tanzania na Msumbiji ukielekea Bahari Hindi, mito yote inayoingia Ruvuma kutoka upande wa Msumbiji ni matawimto ya kulia, mito yote... |
Wilaya ya Newala Vijijini (fungu Marejeo) mashariki na kaskazini, mto Ruvuma na Msumbiji kwa kusini. Newala imepakana kwa karibu kabisa na nchi ya Msumbiji ambapo mto Ruvuma ndio unaotenganisha... |
Daraja la Umoja (Kusanyiko Madaraja nchini Msumbiji) Ruvuma linalojengwa kwa shabaha ya kuunganisha nchi mbili za Tanzania na Msumbiji. Mahali pa daraja ni takriban km 240 kutoka mdomo wa mto Ruvuma kati ya... |
Msumbiji ilishindana katika Michezo ya Ufukweni ya Afrika huko Sal, Cape Verde kuanzia tarehe 14 hadi 23 Juni 2019. Kwa jumla wanariadha wanaoiwakilisha... |
Nyasa (ziwa) (Kusanyiko Maziwa ya Msumbiji) Ziwa Nyasa (katika Malawi: Lake Malawi; katika Msumbiji: Niassa) ni kati ya maziwa makubwa ya Afrika ya Mashariki likiwa na nafasi ya tatu baada ya Viktoria... |
Verónica Macamo (Kusanyiko Wanawake wa Msumbiji) (amezaliwa Novemba 13, 1957), ni mwanasiasa wa Msumbiji ambaye aliwahi kuwa Rais wa Bunge la Jamhuri ya Msumbiji kutoka 2010 hadi 2020. Yeye ni mwanachama... |
Mashariki wa Afrika. Iko katika Mlangobahari wa Msumbiji kaskazini kwa Madagaska na mashariki kwa Msumbiji. Jina limetokana na lugha ya Kiarabu ambapo Juzur... |
Wilaya ya Mtwara Vijijini (fungu Marejeo) Vijijini ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Mtwara. Wilaya hii imepakana na Msumbiji upande wa kusini, Wilaya ya Tandahimba upande wa magharibi, Mkoa wa Lindi... |
Catandica (Kusanyiko Mbegu za jiografia ya Msumbiji) Catandica ni mji wa mkoa wa Manica nchini Msumbiji. Idadi ya wakazi wake ni takriban 177,193 mwaka 2015. Mji huo, ulio karibu na mpaka wa Zimbabwe, umepata... |
Mtwara (mji) (fungu Marejeo) ni mji wa bandari kando ya Bahari Hindi karibu na mpaka wa Tanzania na Msumbiji. Kiutawala Mtwara ni wilaya ya Mtwara mjini, umeunganishwa pamoja na mji... |
ipo kusini mwa nchi ya Kanada, Tanzania ipo kusini mwa nchi ya Kenya, na Msumbiji ipo kusini mwa nchi ya Tanzania. Ncha ya kusini ni kusini ya mbali unayoweza... |