Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Jiji la Mbeya ni mji mkubwa kusini-magharibi mwa Tanzania wenye hadhi ya jiji na msimbo wa Posta 53100. Mbeya ni kitovu cha Nyanda za Juu za Kusini ambazo... |
Forest ni kata ya Mbeya Mjini katika Mkoa wa Mbeya, Tanzania yenye Postikodi namba 53103. Forest iko ng'ambo ya barabara kuu ya TANZAM kati ya Mwanjelva... |
zamani katika mji wa Mbeya. Eneo hili lilipewa jina la "Ghana" baada ya nchi ya Ghana kupata uhuru wake mwaka 1957. Wananchi wengi wa mji wa Mbeya wa wakati... |
Mkoa wa Mbeya ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania, ukipakana na Zambia na Malawi, halafu na mikoa ya Rukwa, Tabora, Singida na Iringa, mbali na mkoa mpya... |
Msimbo wa posta ni 53110. Majengo ni kati ya sehemu za kale kabisa za mji wa Mbeya. Mbeya ilipoanzishwa na Waingereza mnamo mwaka 1927 ilipangwa kufuatana... |
Njombe hadi barabara kuu ya Dar es Salaam - Mbeya; pia nyingine ya kwenda pwani kupitia Tunduru na Masasi. Mji uko kwenye kimo cha m 1210 juu ya UB katika... |
linatokana na mto Morogoro unaopitia katikati ya mji. Morogoro ni njiapanda ya barabara muhimu za Dar es Salaam - Mbeya na Dar es Salaam - Dodoma zinazokutana hapa... |
Uyole (Kusanyiko Mbegu za jiografia ya Mkoa wa Mbeya) vitongoji vya Mbeya Mjini katika Mkoa wa Mbeya, Tanzania. Uyole iko kando ya eneo la halmashauri ya Mbeya takriban km 10 kutoka kitovu cha mji mahali penye... |
baridi kiasi. Mji uko takriban kilomita 200 kusini kwa Iringa na kilomita 150 upande wa kaskazini-mashariki kwa Mbeya. Hadi mwaka 2012 kata za mji wa Njombe... |
Utengule/Usongwe (Kusanyiko Mbegu za jiografia ya Mkoa wa Mbeya) Utengule/Usongwe ni kata ya Wilaya ya Mbeya Vijijini katika Mkoa wa Mbeya, Tanzania. Kijiji cha Utengule kiko kilomita 16 kutoka Mbeya mjini kupitia Mbalizi. Katika... |
Kyela Mjini (Kusanyiko Mbegu za jiografia ya Mkoa wa Mbeya) maarufu Tanzania kwa mchele mzuri unaolimwa hapa. Mji ni kitovu cha mawasiliano kwa sababu barabara kutoka Mbeya-Tukuyu kwenda Malawi inakutana hapa na barabara... |
barabara kuu ya TANZAM; kuna usafiri wa kila siku kwenda Dar es Salaam na Mbeya. Njia kwenda Dodoma ni sehemu ya barabara ya kale ya "Cape-Cairo" kati ya... |
Wasafwa (Kusanyiko Mkoa wa Mbeya) kutoka eneo la milima ya mkoa wa Mbeya, kusini mwa nchi ya Tanzania. Wako hasa katika wilaya za Mbeya mjini, Mbeya vijijini, Mbozi na Chunya Mwaka 1987... |
inachukua masaa 10 - 12. Mabasi yanakwenda kila siku Sumbawanga (masaa 5), Mbeya na Tabora (masaa 9). Baada ya kuwa makao makuu ya mkoa wa Katavi uwanja... |
Ruaha Mdogo (Kusanyiko Mkoa wa Mbeya) Rufiji ambao unamwaga maji mengi katika bahari Hindi. Mito ya Tanzania Orodha ya mito ya mkoa wa Mbeya Orodha ya mito ya mkoa wa Iringa Geonames.org... |
Makongolosi (Kusanyiko Mbegu za jiografia ya Mkoa wa Mbeya) Makongolosi ni kata ya Wilaya ya Chunya katika Mkoa wa Mbeya, Tanzania. Makongolosi kwa sasa ni mamlaka ya mji mdogo ndani ya Wilaya ya Chunya. Katika sensa iliyofanyika... |
Tukuyu (Kusanyiko Mbegu za jiografia ya Mkoa wa Mbeya) Tukuyu ni mji mdogo na makao makuu ya wilaya ya Rungwe katika mkoa wa Mbeya, Tanzania. Iko mita 1300 juu ya UB, karibu na mlima wa Rungwe ikitazama beseni... |
Makambako (elekezo toka kwa Mji wa Makambako) njiapanda muhimu kusini mwa Tanzania. Barabara za TANZAM (Dar es Salaam - Mbeya) na barabara ya kuelekea Songea - Mtwara zinakutana huko, pamoja na kituo... |
31 ya Tanzania yenye postikodi namba 54100 ukiwa umemegwa kutoka ule wa Mbeya mwaka 2016. Jina la mkoa limetokana na lile la mto Songwe. Katika sensa... |
kipekee. Asili ya jina la Vwawa ni mtemi au mlima. Mji huu uko kando ya barabara kuu kupitia mikoa ya Mbeya, Njombe, Iringa, Morogoro, Pwani kutokea jijini... |