Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Funguvisiwa la Britania ni kundi la visiwa vya Ulaya ya kaskazini-magharibi. Jumla ni visiwa zaidi ya 6,000 vyenye eneo la km² 315,134, lakini ni hasa... |
Faroe, Isle of Man Man na visiwa vingi vidogo ni sehemu ya funguvisiwa ya Britania. Britania huteganishwa na Ulaya bara kwa Mfereji wa Kiingereza. Mji... |
mkaapweke karibu na Limoges, Akwitania, leo nchini Ufaransa. Alitokea funguvisiwa la Britania (Ireland au Uskoti), akiwa mwanafunzi wa Brendan . Tangu kale ameheshimiwa... |
Kiingereza mara nyingi Republic of Ireland) ni nchi ya kisiwani katika funguvisiwa la Britania ya Ulaya. Eire ilitawaliwa na Uingereza hadi mwaka 1922. Sehemu... |
ndipo Papa Selestini I alipompatia uaskofu na kumtuma katika Funguvisiwa la Britania kupinga Upelaji. Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi... |
na Lithuania. Mara nyingi ama sehemu ya kaskazini ya Britania (=Uskoti) au funguvisiwa ya Britania yote huhesabiwa kuwa sehemu ya Ulaya ya kaskazini yaani... |
kati wa Atlantiki): Greenland, *Iceland, Britania (Uingereza), Ueire (Ireland), Kuba, Newfoundland Funguvisiwa muhimu ni: visiwa vya Faroe, visiwa vya... |
funguvisiwa katika Bahari ya Karibi karibu na Puerto Rico ambavyo ni eneo la ng'ambo la Uingereza. Wakazi ni raia wa Ufalme wa Muungano wa Britania na... |
kisiwa cha Britania Kuu ikiwa sehemu ya Ufalme wa Muungano wa Britania na Eire ya Kaskazini. Uskoti ni theluthi ya kaskazini ya kisiwa cha Britania. Eneo lake... |
Bahari ya Kiselti ni bahari ya pembeni ya Atlantiki kwenye pwani ya visiwa vya Britania (Ulaya).... |
njia hii ukikata jimbo la Schleswig-Holstein ya Ujerumani. Kusini-magharibi kuna mlango wa Mfereji wa Kiingereza kati ya Britania na Ufaransa. Kimo cha... |
inaaminiwa kuwepo upande wa kaskazini wa milima ya Alpi. Walikalia funguvisiwa ya Britania, sehemu za Ulaya ya Magharibi, ya Kati na ya Mashariki. Hapo walikuwa... |
hutokea katika ghuba ya Meksiko na kuvuka Atlantiki. Kabla ya kufika funguvisiwa ya Britania unajigawa katika mikono miwili. Mkono wa kaskazini huitwa "Mkondo... |
km. Unaunganisha Bahari ya Kaskazini na Atlantiki upande wa kusini ya Britania. Kwa karne nyini njia ya kuvuka mlango huu wa bahari ilikuwa safari kwa... |
ya Uingereza na Eire chenye wakazi 75,000 kwenye eneo la km² 572. Man ni eneo chini ya taji la Uingereza, si sehemu ya Ufalme wa Muungano wenyewe. Douglas... |
Kisiwa cha Man (nyekundu) katika ramani ya Funguvisiwa la Britania.... |
Colony, ambayo ilikuwa imechukuliwa na askari wa Britania tangu 1806, ilipewa rasmi taji la Britania. Wakati huohuo, mabadiliko makubwa yalikuwa yamefanywa... |