Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Kuna ukurasa unaoitwa "Uajemi" kwenye Wiki Kiswahili. Angalia pia matokeo mengine ya utafutaji yaliyopatikana.
Uajemi (kutokana na Kiarabu العجم- al-'ajam) ni nchi ya Asia ya Magharibi. Kimataifa inajulikana zaidi kwa jina Iran (ايران). Jina rasmi ya nchi ni Jamhuri... |
Ghuba ya Uajemi (Kiajemi: خلیج فارس khalij-e fārs; Kiarabu: الخليج الفارسي al-khalīj al-fārsī; pia: الخليج العربي al-khalīj al-ʿarabī „Ghuba Arabu“) ni... |
Uajemi ya Kale ni kipindi katika historia ya Uajemi kilichotokea kabla ya kuingia cha Uislamu nchini na hasa kipindi cha milki kubwa. Nasaba mbalimbali... |
Vita kati ya Irak na Uajemi ilitokea kuanzia Septemba 1980 hadi Agosti 1988. Ilipigwa kati ya majeshi ya nchi jirani za Irak na Uajemi (Iran) ikisababisha... |
Wafiadini 310 wa Uajemi (walifariki nchini Uajemi, karne ya 4 hivi) walikuwa Wakristo waliouawa kwa ajili ya imani yao . Tangu kale wanaheshimiwa na Waorthodoksi... |
Ghuba ya Uajemi. Urefu wake ni 560 km. Upande wa magharibi maji yana kina cha m 50 na upande wa mashariki kina cha mita 200. Ghuba ya Uajemi ni muhimu... |
Umedi (Kusanyiko Uajemi ya Kale) nchi na milki ya kihistoria na sehemu kubwa ya eneo lake lilikuwa ndani ya Uajemi ya magharibi ya leo. Kiasili ni jina linalojumlisha makabila mbalimbali... |
hiyo yaliunganishwa, na hii ilikuwa mwanzo wa milki ya Uajemi. Mfalme Koreshi II aliunganisha Uajemi wote chini ya mamlaka yake akavamia sehemu za Uturuki... |
Mashariki ya Kati inatawaliwa kwanza na Babuloni Mpya ya Wakaldayo, halafu na Uajemi uliozidi kuenea hadi kuwa dola kubwa kuliko yote yaliyotangulia. Ufalme... |
Ruhollah Khomeini (Kusanyiko Uajemi) ya Uajemi ya 1979 na baadaye kiongozi wa kiroho wa Jamhuri ya Kiislamu ya Uajemi hadi kifo chake. Alizaliwa mnamo 1902 mjini Khomein katika Uajemi wa... |
Orodha hii inaorodhesha lugha za Uajemi: Kiaimaq Kialviri-Vidari Kiarabu ya Ghuba Kiarabu ya Mesopotamia Kiarmenia Kiashtiani Kiaramaiki Mpya ya Assyria... |
Wafiadini 120 wa Uajemi (walifariki nchini Uajemi, 344 hivi) walikuwa Wakristo, wakiwemo wanaume 111 na wanawake 9 kutoka miji mbalimbali, waliouawa kwa... |
(Uajemi, 628 KK - 551 KK). Mahavira (Vardhamana) (India, 599 KK - 527 KK). Mani (Manes) (Uajemi, (216 - 277). Bab (Siyyid Mírzá 'Alí-Muhammad) (Uajemi... |
Mikoa na wilaya za Uajemi ni vitengo vya utawala wa nchi hiyo. Uajemi imegawiwa kwa mikoa 30 inayoitwa kwa Kifarsi ostān ( استان wingil استانها ostānhā)... |
Mataifa umehesabu pia Afghanistan na Uajemi katika kanda hili. Asia ya Kusini jinsi ilivyoelezwa hapo juu (bila Uajemi na Afghanistan) ni karibu sawa na... |
kati ya ya nchi hizi: Azerbaijan, Urusi, Kazakhstan, Turkmenistan, na Uajemi. Uajemi Uchina Saudia Japani Kazakistani Uhindi Mongolia Indonesia Malesia Ufilipino... |
Armenia na Uajemi. Azerbaijan ni pia jina la mikoa miwili magharibi mwa Uajemi (Azerbaijan ya Mashariki na Azerbaijan ya Magharibi); nchini Uajemi takriban... |
Mlango wa Hormuz (Kusanyiko Ghuba ya Uajemi) hormoz) ni mlango wa bahari mwembamba kati ya Uajemi na Falme za Kiarabu unaounganisha Ghuba ya Uajemi na Ghuba ya Omani ambayo ni mkono wa Bahari Hindi... |
Kiajemi (Kusanyiko Lugha za Uajemi) Kiajemi (au Kifarsi, فارسی; au Kiparsi, (پارس) ni lugha ya taifa ya Uajemi. Ni kati ya lugha za Kihindi-Kiajemi, ambazo tena ni kati ya lugha za Kihindi-Kiulaya... |
Imepakana na Kuwait, Saudia, Yordani, Syria, Uturuki na Uajemi. Kuna pwani fupi kwenye Ghuba ya Uajemi. Sehemu kubwa ya Iraq ni jangwa lakini kuna eneo lenye... |