Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 18 | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | Miaka ya 1940 | Miaka ya 1950 | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990
Karne ya 20 ni karne iliyoanzia tarehe 1 Januari 1901 na kuishia tarehe 31 Desemba 2000.
Matukio mengi yalitokea wakati wa karne ya 20 yakiwemo ya vita kuu mbili za dunia na kustawi kwa sayansi, teknolojia na sekta ya viwanda duniani.
Katika karne ya 20 idadi ya watu iliongezeka zaidi sana ulimwenguni, kuliko karne zote zilizopita.
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Karne ya 20, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.