Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Upendo ni neno linalotumika kwa maana mbalimbali kuanzia hali ya nafsi ya binadamu hadi kwa Mungu. Linatokana na kitenzi "kupenda" na kufanana na pendo... |
Upendo safi ni suala la teolojia ya Kikristo lililotolewa hasa baada ya Watulivu kukataliwa na Kanisa Katoliki, na baadhi yao kupunguza ukali wa msimamo... |
Upendo kamili (1Yoh 4:18) ndio hasa ukamilifu wa Kikristo (Kol 3:14), ambao ni wajibu kwa Wakristo wote kuulenga kutokana na maana halisi na upana wa amri... |
Maadili ya Kimungu (fungu Tumaini na upendo) kumwezesha binadamu kuhusiana naye inavyotakiwa, yaani kwa: imani tumaini na upendo. Kwa maadili hayo, yale ya kiutu yanakuwa hai na bora, kwa mfano wa Yesu... |
Anjela wa Foligno (fungu Tazama pia) anaomba upendo tu, kwa kuwa mwenyewe anapenda bila ya uongo, naye ndiye upendo wa roho”. Yesu msulubiwa akimuonyesha kidogo mateso yake akaongeza, “Tazama vema:... |
Kiswahili linalojumlisha idadi kadhaa ya hisia, kuanzia mahaba, pendo hadi upendo wa Kimungu. Ni kwamba kitenzi "kupenda" kinaweza kurejelea aina za hisia... |
"upendo" katika lugha mbalimbali ambazo zina neno moja tu. Kwa hiyo "agape" inataja maana ya pekee ya "upendo" ambayo ni upendo wa kindugu au upendo wa... |
Teresa wa Mtoto Yesu (fungu Tazama pia) Kanisa. Akifurahia udogo wake, Teresa alijitokeza kama “mtaalamu wa elimu ya upendo” (Papa Yohane Paulo II), katika maandishi yake, hasa katika shajara alimosimulia... |
Utatu (fungu Tazama pia) mwanga, kama Neno au Wazo lake (Hekima), tena anamvuvia Roho Mtakatifu kama Upendo ambao unamuunganisha na Mwana na kukamilisha umoja wao. Kimsingi ni kwamba... |
hakuacha hata kidogo kumuamini. Ndilo tendo kuu la imani; ndilo pia tendo kuu la upendo baada ya lile la Kristo mwenyewe. Tendo hilo limemfanya Maria malkia... |
Imani (fungu Tazama pia) pengine Ukristo unatia maanani pia akili katika ujuzi wa ukweli. Kadiri ya Mtume Paulo imani ikifuatana na tumaini na upendo ni adili kuu mojawapo, msingi... |
upendo wenyewe. “Bwana, Bwana, Mungu mwingi wa huruma, mwenye fadhili, si mwepesi wa hasira, mwingi wa rehema na kweli” (Kut 34:6). “Mungu ni upendo,... |
Roho Mtakatifu (fungu Tazama pia) ya Mungu pekee. Kwa madhehebu karibu yote ya Kikristo, Roho Mtakatifu ni upendo wa Mungu, nafsi ya tatu ya Utatu Mtakatifu, mwenye Umungu mmoja na Baba... |
hakuacha hata kidogo kumuamini. Ndilo tendo kuu la imani; ndilo pia tendo kuu la upendo baada ya lile la Kristo mwenyewe. Tendo hilo limemfanya Maria malkia... |
la moyo huo ulio wazi daima ili kutuonyesha upendo wake. Tumuombe pia bikira Maria atushirikishe upendo aliokuwa nao katika kuipokea ekaristi kwa mikono... |
wamejifunza kula vyakula vya makabila mengine pia kama vile ugali. Wahangaza ni kabila la watu wakarimu sana, wenye upendo na roho za kujali wageni. Wana utamaduni... |
Kolumbani (fungu Tazama pia) roho zetu kwa upendo wako ili kila mmojawetu aweze kusema kwa ukweli wote: Unijulishe mpenzi wa roho yangu; kwa kuwa nimejeruhiwa na upendo wako. Ee Bwana... |
wako katika yote; kwa nguvu zetu zote pia, kwa kutumia uwezo na hisia zote za roho na mwili katika kuhudumia upendo wako na si chochote kingine; na tuweze... |
Fransisko wa Sales (fungu Tazama pia) cha upendo wa Mungu", ambavyo ni kati ya vitabu bora vya kidini vya nyakati zote na vinaelekeza walei pia kufuata njia ya utakatifu, yaani ya upendo wa... |
ya upendo yaliyodaiwa na Yesu pia. “Ninyi, ndugu, mliitwa mpate uhuru; lakini uhuru wenu usiwe sababu ya kuufuata mwili, bali tumikianeni kwa upendo. Maana... |