Matokeo ya utafutaji kwa ajili ya
Kuna ukurasa unaoitwa "Amerika" kwenye Wiki Kiswahili. Angalia pia matokeo mengine ya utafutaji yaliyopatikana.
Amerika ni jina la mabara mawili makubwa upande wa magharibi wa Afrika na Ulaya. Amerika iko kati ya Bahari ya Atlantiki na Bahari ya Pasifiki kwa urefu... |
(kijiolojia ni sehemu ya Amerika Kaskazini ingawa kiutamaduni ni sehemu ya "Amerika ya Kilatini" na kuhesabiwa pia katika Amerika ya Kati). Kisiwa cha Greenland... |
Amerika ya Kusini ni bara la magharibi ambalo kwa kiasi kikubwa sana linaenea upande wa kusini wa Ikweta. Inapakana na Bahari ya Pasifiki upande wa Magharibi... |
Amerika ya Kati ni eneo upande wa kusini ya Marekani au Meksiko (taz. chini) na upande wa kaskazini ya Kolombia. Kijiografia katika hesabu ya kawaida... |
Amerika ya Kilatini ni jina linalotumika kutaja sehemu kubwa ya Amerika. Amerika ya Kilatini humaanisha kwa kawaida nchi za Amerika ambako lugha za Kihispania... |
Bamba la Amerika ya Kaskazini ni kati ya mabamba makubwa ya gandunia ya dunia yetu. Lipo chini ya bara la Amerika ya Kaskazini pamoja na Greenland ikielekea... |
Marekani (elekezo toka kwa Maungano ya Madola ya Amerika) Muungano wa Madola ya Amerika (kwa Kiingereza: United States of America), inajulikana pia kama Marekani (kwa Kiingereza: United States, US, USA au America)... |
Maziwa makubwa ya Amerika Kaskazini ni jumla ya maziwa matano yanayopatikana mfululizo kwenye mpaka kati ya Marekani na Kanada. Ziwa Michigan pekee limo... |
Kordilera ya Amerika ni mlolongo wa safu za milima kunjamano unaopita katika Amerika Kaskazini hadi Amerika Kusini upande wa magharibi kufuatana na pwani... |
Ndoto ya Amerika ni kitabu cha watoto kilichoandikwa na Ken Walibora. Ken Walibora alikuwa mwandishi maarufu wa Kenya ambaye alifanya kazi na kuandika... |
Copa Amerika (Kihispania: Copa America, zamani hadi 1975 Mashindano ya Mataifa ya Amerika Kusini) ni mashindano ya kandanda ambayo ni shindano kuu la bara... |
Bamba la Amerika ya Kusini ni moja ya mabamba ya gandunia ya dunia yetu. Lipo chini ya bara la Amerika ya Kusini na chini ya sehemu kubwa za bahari Atlantiki... |
Shirikisho la Amerika ya Kati (kihisp.: Confederación de Centroamérica) , pia: Maungano ya majimbo ya Amerika ya Kati (Provincias Unidas del Centro de... |
Baisani (elekezo toka kwa Baisani wa Amerika) Bison) ni jenasi ya wanyama wakubwa wa Amerika na Ulaya wanaofanana na ng'ombe. Bison bison, Baisani wa Amerika (American Bison) Bison b. athabascae, Baisani-misitu... |
kwa kutumia alama za {{tafsiri kompyuta}} . UKIMWI huko Amerika Kaskazini, ukiondoa Amerika ya Kati na Karibi, kufikia mwaka 2016, inakadiriwa kuwa watu... |
Hii ni orodha ya benki barani Amerika. Benki ya Bahamas Kimataifa Benki Kuu ya London na Montreal Benki Kuu Barbados Barbados National Bank (BNB) Benki... |
Uislamu ni dini ndogo katika nchi na maeneo yote ya Bara la Amerika. Suriname ina asilimia kubwa ya Waislamu katika ukanda huu, ikiwa na asilimia 13 au... |
Historia ya Amerika inasimulia matukio ya bara hilo lote (Amerika Kaskazini pamoja na Amerika ya Kati, Amerika Kusini na visiwa vya Karibi) tangu binadamu... |
Jagwa (elekezo toka kwa Chui wa Amerika) jaguar, Kisayansi: Panthera onca) au chui wa Amerika ni mnyama mbuai mkubwa kama chui anayeishi Amerika na aliye na manyoya ya manjano na madoa meusi... |
Ukristo barani Amerika uliingia mara Wazungu walipofikia huko. Kabla ya hapo wakazi walifuata dini za jadi, zikiheshimu roho na uasilia, lakini pengine... |