Uhakiki: Mtaalamu anayetoa maoni yake na tathmini ya kazi mbalimbali za kisanii

Uhakiki ni kitendo cha kutathimini, kueleza, kuainisha na kutoa maoni juu ya kazi fulani ya fasihi kwa kuongozwa na kaida maalum.

Hii ina maana ya kwamba uhakiki wa kazi za fasihi hautoki katika ombwe, kuna kanuni na taratibu mbalimbali zinazoongoza kufanya uhakiki, na hii ndio sababu kuna nadharia kadha wa kadha za uhakiki wa kazi za kifaishi. Au kwa lugha rahisi, uhakiki ni uchambuzi wa kina wa kazi za fasihi kama vile riwaya, tamthiliya na mashairi kwa lengo la kufafanua vipengele vya fani na maudhui.

Tazama pia

Viungo vya Nje

Tags:

FaniFasihiMashairiMaudhuiRiwayaTamthiliya

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Historia ya UislamuRose MhandoFonetikiMungu ibariki AfrikaWahayaUchapajiHadubiniDhanaJoyce Lazaro NdalichakoNamba ya mnyamaKataMkoa wa MorogoroMwanaumeViwakilishi vya urejeshiNyumbaMvuaIstilahiMnyoo-matumbo MkubwaEmmanuel John NchimbiZuchuUtumwaOrodha ya visiwa vya TanzaniaViungo vinavyosafisha mwiliMkoa wa LindiMfumo wa vyama vingiMaudhui katika kazi ya kifasihiSheriaMashuke (kundinyota)NetiboliNyokaBahatiRejistaHistoria ya WapareSaratani ya mlango wa kizaziUongoziNambaUmoja wa AfrikaShetaniMkoa wa DodomaMziziMbwana SamattaVihisishiDuniaNyotaMbuniMartin LutherChuraAfrikaMaana ya maishaPichaKamusi za KiswahiliMaajabu ya duniaErling Braut HålandVipera vya semiMatumizi ya lugha ya KiswahiliKombe la Dunia la FIFAMaigizoTabiaTiktokUjimaWanyama wa nyumbaniMusaKibwagizoMivighaMkondo wa umemeAdhuhuriMishipa ya damuUandishi wa barua ya simuJulius NyerereMtandao wa kijamiiShinikizo la juu la damuKiambishi awaliUzazi wa mpangoSumakuBara🡆 More