Udadisi

Udadisi (kwa Kiingereza: curiosity, kutoka neno la Kilatini curiositas, yaani umakini) ni tabia ya kuchunguza kitu au jambo kwa kina.

Udadisi
Watoto Wazungu wa zamani wakidadisi kamera ya Toni Frissell.

Mara nyingi wanasayansi ndio wadadisi wazuri kwa maana wao huchunguza kwa kina na umakini, wakifuata kanuni na kutafuta ushahidi. Kwa njia yao udadisi umestawisha maisha ya binadamu.

Katika udadisi kuna ule wa kawaida na mwingine usio wa kawaida. Kwa udadisi wa kawaida mtu hudadisi kwa njia rahisi, tofauti na ule usio wa kawaida ambapo mtu asipokuwa makini anaweza hata kufa. Udadisi huu unahitaji kuwa makini sana.

Udadisi unajitokeza mapema katika mtoto, lakini unapozidi na kuelekea mambo yasiyo na maana (kwa mfano umbeya) unamzuia mtu asijue mambo ya maana; hapo ni kilema cha akili.

Tanbihi

Marejeo

Tags:

KiingerezaKilatiniKinaNenoTabia

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

ItifakiUfinyanziUwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius NyerereUhifadhi wa fasihi simuliziVielezi vya mahaliDiamond PlatnumzMaktabaLady Jay DeeChawaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoRushwaMtiMkoa wa KilimanjaroHifadhi ya mazingiraKiumbehaiNembo ya TanzaniaMmomonyokoMaradhi ya zinaaHuduma ya kwanzaChelsea F.C.Chama cha MapinduziAngahewaDaudi (Biblia)Uti wa mgongoMofimuUingerezaNchi za visiwaNomino za wingiKupatwa kwa JuaMamaUhakiki wa fasihi simuliziAbedi Amani KarumeWagogoKichochoMfumo wa uendeshajiPamboKamusi za KiswahiliPemba (kisiwa)WajitaUnyanyasaji wa kijinsiaNairobiOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaLigi Kuu Tanzania BaraMwakaMaghaniMkondo wa umemeFamiliaIsimuMbogaKongoshoKiimboKinjikitile NgwaleMnyamaVokaliKitenzi kikuu kisaidiziMlongeKata za Mkoa wa Dar es SalaamHakiPichaRisalaSumbawanga (mji)Orodha ya viwanja vya ndege nchini TanzaniaKito (madini)Athari za muda mrefu za pombeMuunganoSaidi Salim BakhresaEthiopiaKontuaKipandausoMwezi (wakati)Usultani wa Zanzibar🡆 More