Tewodros Ii

Tewodros II (takriban 1818 – 13 Aprili 1868) alikuwa mfalme mkuu wa Uhabeshi kuanzia 11 Februari 1855 hadi kifo chake.

Alimfuata Yohannes III aliyeuzuliwa naye. Jina lake la kubatizwa lilikuwa Kassa Haile Giyorgis. Ingawa hakuwa mrithi wa ufalme aliwashinda wagombea wote vitani. Waingereza walipovamia Uhabeshi chini ya kamanda ya Robert Napier na kushinda jeshi la Uhabeshi, Tewodros II alijiua. Aliyemfuata ni Tekle Giyorgis II.

Tewodros Ii
Tewodros II
Tewodros Ii Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Uhabeshi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tewodros II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

11 Februari13 Aprili18551868Tekle Giyorgis IIUhabeshiYohannes III

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Kinjikitile NgwaleUtataManchester United F.C.MwanaumeOrodha ya Marais wa ZanzibarMwanamkeDhanaJogooVivumishi vya sifaWanyamboUainishaji wa kisayansiUtamaduni wa KitanzaniaKitenzi kikuuMazingiraUbatizoIrene UwoyaVita vya KageraJuxWanyaturuKiunzi cha mifupaHistoria ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya KongoKupatwa kwa JuaNdege (mnyama)Orodha ya Marais wa UgandaMandhariBibliaNgome ya YesuLongitudoMzabibuUlumbiHadubiniMafurikoJumuiya ya Afrika MasharikiIdara ya Usalama wa Taifa (Tanzania)Philip Isdor MpangoMbooUkimwiSimba S.C.UkristoNathariMajiKongoshoMtume PetroVitendawiliZama za MaweOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoUaMatumizi ya lugha ya KiswahiliFacebookFalme za KiarabuVitenzi vishirikishi vikamilifuJumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaBarua rasmiRitifaaSkeliUtohoziAgano JipyaUsanisinuruNikki wa PiliSimbaAli Hassan MwinyiFamiliaMbwana SamattaNairobiKanisaChakulaMalawiBawasiriTafsiriNomino za kawaidaVivumishi vya pekeeJamhuri ya Watu wa ZanzibarDuniaMaktabaZuchuTiktok🡆 More