Stanley Kubrick (26 Julai 1928 - 7 Machi 1999) alikuwa mwongozaji wa filamu wa Kimarekani.
Kubrick anafikiriwa kuwa mmoja kati ya waongozaji filamu wakubwa wa karne ya 20.
Stanley Kubrick | |
---|---|
Amezaliwa | New York City, Marekani | Julai 26, 1928
Amekufa | 7 Machi 1999 (umri 70) Childwickbury, Marekani. |
Kazi yake | Mwongozaji wa filamu |
Ndoa | Toba Metz (1948-1951) Ruth Sobotka (1955-1957) Christian Harlan (1958) |
Watoto | 2 |
Alizaliwa mjini New York lakini maisha yote alikuwa akiishi Uingereza. Filamu zake ziliheshimika sana kwakuwa na maelezo ya msingi na kueleweka-kuwa na wapenzi wengi. Filamu zilizonyingi zilikuwa gumzo mara tu inapoanza kuonyeshwa.
Filamu maarufu za Kubrick ni Dr. Strangelove or: How I Learned To Stop Worrying na Love the Bomb, 2001: A Space Odyssey na The Shining. Stanley Kubrick alifariki dunia kutokana na ugonjwa wa moyo mnamo tarehe 7 Machi ya mwaka wa 1999.
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani wa Marekani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Stanley Kubrick kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Stanley Kubrick, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.