Skopje (Kimasedonia: Скопје; tamka: Skopye) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Jamhuri ya Masedonia Kaskazini.
Zaidi ya robo ya wakazi wote wa nchi hiyo kukaaa hapa.
Skopje ni kitovu cha uchumi, utamaduni na siasa wa nchi.
Anwani ya kijiografia ni 42°0′N 21°26′E.
Mto Vardar hupita katika mji.
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Skopje kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Skopje, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.