Ontario ni jimbo (province) la Kanada upande wa Ghuba ya Hudson. Imekuwa jimbo la Kanada tangu 1867.
Ontario | |||
| |||
Nchi | Kanada | ||
---|---|---|---|
Mji mkuu | Toronto | ||
Eneo | |||
- Jumla | 1,076,395 km² | ||
Tovuti: http://www.ontario.ca/ |
Lina eneo la km² 1,076,395. Ni jimbo kubwa la pili katika Kanada baada ya Quebec.
Limepakana na Quebec, New York, Michigan na Manitoba. Upande wa kusini kuna Ziwa Superior, Ziwa Huron, Ziwa Erie na Ziwa Ontario.
Kuna wakazi milioni kumi na tatu (13,425,124).
Mji mkuu ni Toronto ambayo pia ni mji mkubwa wa Kanada.
Lugha rasmi ni Kiingereza (de facto).
Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Ontario kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Ontario, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.