Astana ni mji mkuu wa Kazakhstan.
Kuna wakazi 1 350 228 (mwaka 2022).
Astana | |
Nchi | Kazakhstan |
---|
Mji uliitwa kwa jina "Akmola" ukateuliwa mwaka 1997 kuwa mji mkuu badala ya Almaty. Jina jipya la "Astana" lilimaanisha "mji mkuu". Uhamisho wa mji mkuu umesababishwa na nia ya kupeleka makao makuu ya serikali katika moyo wa nchi ilhali Almaty iko kando kabisa, mpakani mwa Kirgizia.
Mwaka 2019 jina limebadilishwa tena kuwa Nursultan kwa heshima ya rais mstaafu Nursultan Nazarbayev.
Mnamo septemba 17, 2022, Rais Tokayev alisaini amri juu ya kubadili jina la mji Mkuu Kwa Astana. Amri ilianza kutumika tangu tarehe ya kuchapishwa.
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Astana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Astana, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.