Nikola Tesla

Nikola Tesla (10 Julai 1856 – 7 Januari 1943; Kiserbokroatia: Никола Тесла) alikuwa mhandisi na mwanafizikia kutoka milki ya Austria-Hungaria aliyehamia baadaye Marekani.

Nikola Tesla
Nikola Tesla
Nikola Tesla
Alizaliwa 10 Julai 1856 Austria-Hungaria
Alikufa 7 Januari 1943 New York
Nchi Austria-Hungaria, Marekani
Kazi yake mhandisi na mwanafizikia
Nikola Tesla
Nyumba alikozaliwa Tesla

Tesla alizaliwa katika familia ya Kiserbia, alisoma uhandisi akajishughulisha hasa na umeme na sumakuumeme.

Mwaka 1884 alihamia Marekani alipoajiriwa na Thomas Edison lakini baadaye alitoka katika kampuni yake.

Kati ya mengi aliyobuni au aliyochangia kuna

  • redio
  • mkondo geu wa umeme

Viungo vya Nje

Tags:

10 Julai185619437 JanuariAustria-HungariaKiserbokroatiaMarekaniMhandisiMilkiMwanafizikia

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Ukanda wa GazaJokofuBenjamin MkapaUpinde wa mvuaOrodha ya nchi kufuatana na wakaziNadhariaUkwapi na utaoMsalaba wa YesuUzalendoUtataMamba (mnyama)Simba S.C.Mfumo wa JuaRwandaThamaniZiwa ViktoriaTanganyika African National UnionMvuaOrodha ya viongoziMwakaUbepariViwakilishi vya kumilikiNgw'anamalundiUturukiMkoa wa MwanzaBabeliMachweoMwanzo (Biblia)Biashara ya masafa marefu ya Afrika MasharikiDuniaWilaya ya IlalaMitume wa YesuVita ya AbushiriMaktabaHakiKisaweLingua frankaVivumishi vya pekeeAli KibaHaki za binadamuUtohoziVita vya KageraUkabailaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMarekaniNdoaMaana ya maishaWilaya ya NyamaganaNathariMashariki ya KatiLongitudoMkoa wa TangaLugha rasmiViwakilishi vya sifaInsha zisizo za kisanaaTiktokSikioNgano (hadithi)Maradhi ya zinaaDiniTeknolojiaTabianchiKumaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaViunganishiKisononoMr. BlueHadhiraOrodha ya volkeno nchini TanzaniaMkoa wa RuvumaInsha za hojaWasukuma🡆 More