Mzee Simeoni

Mzee Simeoni alikuwa mwanamume mwadilifu wa Yerusalemu (leo nchini Palestina/Israeli) katika karne ya 1 KK.

Mzee Simeoni
Simeone Mpokea Mungu kadiri ya Alexei Egorov, 1830 n.k.

Ni maarufu hasa kwa kumpakata mtoto Yesu alipoletwa na wazee wake katika hekalu la Yerusalemu siku 40 tu baada ya kuzaliwa Bethlehemu.

Kadiri ya Injili ya Luka (2:25-35) alikwenda kumlaki kwa kuongozwa na Roho Mtakatifu aliyekuwa amemuahidia hatakufa kabla hajamuona Masiya.

Alipomtambua katika mtoto huyo alishangilia na kumsifu Mungu kwa wimbo maarufu alipomtangaza Yesu kuwa ndiye wokovu ulioandaliwa kwa mataifa yote.

Baada ya hapo alimtabiria Bikira Maria kwamba upanga utamchoma moyo kuhusiana na upinzani utakaompata mwanae.

Tangu kale anaheshimiwa na madhehebu mengi ya Ukristo kama mtakatifu, hasa tarehe 2, 3 au 15 Februari.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Mzee Simeoni 
Wiki Commons ina media kuhusu:
Mzee Simeoni  Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mzee Simeoni kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

AdiliIsraeliKarne ya 1 KKMwanamumePalestinaYerusalemu

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Maudhui katika kazi ya kifasihiDoto Mashaka BitekoNdovuShambaMatumizi ya LughaAdolf HitlerUkwapi na utaoMkoa wa NjombeMitume na Manabii katika UislamuElimuAngahewaSintaksiMjasiriamaliUtafitiKampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya MasharikiKitenzi kishirikishiMkoa wa KilimanjaroNduniFasihi simuliziHistoria ya Kanisa KatolikiViunganishiMuhammadBibliaSimba S.C.SalaMkoa wa TangaUundaji wa manenoOrodha ya viongoziNuktambiliMr. BlueMfumo wa JuaUvuviMilaTungo sentensiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaGhanaInsha za hojaUtohoziMkoa wa SongweFonimuVirusi vya UKIMWIWilaya ya IlalaFonolojiaTiba asilia ya homoniLigi Kuu Uingereza (EPL)TarafaMkoa wa KageraMaambukizi ya njia za mkojoMkoa wa KigomaOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaUzazi wa mpangoKassim MajaliwaOrodha ya matajiri wakubwa WaafrikaMsamiatiSisimiziKilwa KisiwaniLigi ya Mabingwa UlayaLongitudoTreniKadi ya adhabuAthari za muda mrefu za pombeUgonjwaPentekosteUjimaUharibifu wa mazingiraBikira MariaVichekeshoTafsiriOrodha ya Marais wa MarekaniNyangumiShinikizo la juu la damuDodoma Makulu🡆 More