Mwongo

-Kwa maana ya mwongo kumtaja mtu asiyesema ukweli kwa kusudi tazama uongo-

Mwongo (pia: dekadi kutoka Kigiriki / Kiingereza "decade") ni kipindi cha miaka 10. Miongo 10 hufanya karne moja.

Kila miaka 10 ya mfululizo hufanya mwongo lakini mara nyingi neno hutumiwa kutaja ile miaka kumi inayoanza kwa 1960 - 1969 au 1990 hadi 1999.

Njia nyingine ni kusema "mwongo baada" au "mwongo kabla" ya tukio fulani kwa mfano "Mwongo baada ya vita kuu ya pili" kwa kutaja miaka ya 1945-1955 baada ya mwisho wa vita kuu ya pili ya dunia.

Tags:

Uongo

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

KiumbehaiDolar ya MarekaniMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaMwenge wa UhuruIsraeli ya KaleNg'ombeAfrikaShairiVielezi vya mahaliBarack ObamaUzazi wa mpangoUandishiC++Somo la UchumiKigoma-UjijiKongoshoMkoa wa RukwaOrodha ya makabila ya TanzaniaTafsiriKenyaZama za MaweUaAdhuhuriDawatiBukayo SakaRitifaaAla ya muzikiNzigeWapareRisalaOrodha ya majimbo ya MarekaniKifupiNevaUkristoPakaMizaniMarekaniBungeKengeMbuniAsiaDiniMichezo ya watotoMtiMfumo wa homoniVichekeshoHistoria ya WapareUtafitiVasco da GamaMziziMkoa wa SongweVielezi vya namnaMaudhuiHistoria ya WasanguKishazi tegemeziIsraelKitenziLafudhiUwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius NyerereSemiMachweoChupaNyati wa AfrikaMfumo wa nevaUhuru wa TanganyikaMuda sanifu wa duniaMtemi MiramboWikipediaLionel MessiMagonjwa ya kuku🡆 More