Mkorosho, pia mbibo au mkanju (Anacardium occidentale), ni mti unaozaa korosho, moja baina ya jozi za kulika zinazopendwa kabisa.
Mkorosho (Anacardium occidentale) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mkorosho | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Kokwa haimo ndani ya tunda lakini inaambata chini lake. Matunda yanaitwa mabibo au makanju pia.
Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkorosho kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Mkorosho, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.