Spishi 8 zilizo na matunda yaliwayo kwa kawaida (jumla >40):
Mkiwi | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mikiwi ikitoa matunda | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
|
Mikiwi ni mimea ya jenasi Actinidia katika familia Actinidiaceae. Mimea hii ni vichaka vyenye urefu wa hadi m 6 au mitambazi ya hadi m 30. Inazaa matunda yalikayo ambayo huitwa kiwi. Asili ya mimea hii ni Asia ya Mashariki lakini spishi kadhaa hukuzwa katika nchi nyingine, mkiwi wa kawaida (Actinidia deliciosa) hasa katika Italia na Nyuzilandi.
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Mkiwi, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.