Mji Wa Ho Chi Minh

Mji wa Ho Chi Minh (Kivietnam: Thành phố Hồ Chí Minh, Sài Gòn) ni mji mkubwa nchini Vietnam mwenye wakazi zaidi ya milioni 7,1.

Iko katika kusini ya taifa hili. Hadi 1975 ilijulikana kwa jina la Saigon ikiwa ni mji mkuu wa nchi ya Vietnam Kusini. Baada ya kutwaliwa na jeshi ka Vietnam Kaskazini ukapewa jina jipya kwa heshima ya kiongozi ya kaskazini marehemu Ho Chi Minh.

Mji wa Ho Chi Minh - Thành phố Hồ Chí Minh

Mji wa Ho Chi Minh
Habari za kimsingi
Mkoa Mji wa Ho Chi Minh
Anwani ya kijiografia 10°2'N, 106°51'E
Kimo 18 m juu ya UB
Eneo 2095 km²
Wakazi 7.383.800 (2009)
Msongamano wa watu watu 2.095 kwa km²
Simu 84 (nchi), 4 (mji)
Mahali
Mji Wa Ho Chi Minh
Mji Wa Ho Chi Minh
Kanisa Kuu ya Mji wa Ho Chi Minh

Tazama pia

Tags:

Ho Chi MinhKivietnamVietnamVietnam Kusini

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

BabuMkoa wa MbeyaMfumo wa Msimbo wa Posta TanzaniaLigi Kuu Tanzania BaraTendo la ndoaJamhuri ya Watu wa ZanzibarMapambano kati ya Israeli na PalestinaVichekeshoMorokoTamthiliaKitenziAmri KumiKampuniMohamed HusseinTahajiaTashihisiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaWaluoMuungano wa Tanganyika na ZanzibarAli KibaMweziBibliaSahara ya MagharibiChe GuevaraLugha za KibantuJogooUsultani wa ZanzibarMtakatifu PauloNyotaBendera ya KenyaKamusi Hai ya Kiswahili MtandaoniMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaVivumishi vya pekeeMisemoKalenda ya KiislamuKata za Mkoa wa Dar es SalaamFasihiMitume na Manabii katika UislamuKamusi ya Kiswahili - KiingerezaJoseph ButikuKumamoto, KumamotoUbongoAzimio la Kimataifa juu ya Haki za BinadamuMnururishoLugha ya isharaUgonjwa wa uti wa mgongoMajira ya mvuaDolar ya MarekaniTanganyika (ziwa)HisiaMkoa wa KigomaDhamiraLafudhiRedioMfumo wa homoniTamathali za semiAmina ChifupaClatous ChamaJohn Samwel MalecelaInsha za hojaAdolf HitlerWimbo wa Jumuiya ya Afrika MasharikiUzazi wa mpangoManchester United F.C.DaktariUkoloniMsalaba wa YesuHuduma ya kwanzaSautiFutiKiswahiliOrodha ya Marais wa ZanzibarUmoja wa KisovyetiMaudhui katika kazi ya kifasihi🡆 More