Marilyn Monroe (alizaliwa tar.
1 Juni 1926 – 5 Agosti , 1962) alikuwa mwigizaji wa filamu, mwimbaji na mwanamitindo kutoka nchini Marekani. Alikuwa miongoni mwa nyota wa filamu maarufu kati ya mwaka 1950 na 1960.
Marilyn Monroe | |
---|---|
Marilyn Monroe, mnamo 1953. | |
Amezaliwa | Norma Jeane Mortenson Juni 1, 1926 Los Angeles, California, Marekani |
Amekufa | 4 Agosti 1962 (umri 36) Los Angeles, California, Marekani |
Kazi yake | Mwigizaji |
Miaka ya kazi | 1945-1962 |
Ndoa | James Dougherty (1942-1946) Joe DiMaggio (1954-1955) Arthur Miller (1956-1961) |
[marilynmonroe.com Tovuti rasmi] |
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani wa Marekani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Marilyn Monroe kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Marilyn Monroe, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.