Malaika Mkuu

Malaika mkuu (kwa Kigiriki ἀρχάγγελος arkh- + angelos)ni jina la heshima kwa baadhi ya malaika wenye hadhi ya juu kati ya viumbe vya kiroho.

Malaika Mkuu
Mchoro wa Guido Reni ukionyesha ushindi wa malaika mkuu Mikaeli dhidi ya Shetani, 1636.

Msingi wa imani hiyo ni kwamba kila malaika ameumbwa peke yake na tofauti na wengine wote, na kwamba katika kumtumikia Mungu aliyewaumba wanashirikiana kwa ngazi.

Biblia ya Kikristo inatumia jina hilo mara mbili: katika Waraka wa kwanza kwa Wathesalonike 4:16 na katika Waraka wa Yuda 1:9, ambapo linamhusu malaika Mikaeli.

Tanbihi

Marejeo

Tags:

KigirikiMalaika

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaMitume na Manabii katika UislamuMohammed Gulam DewjiKibu DenisApril JacksonSan Jose, CaliforniaMfumo katika sokaSemiChe GuevaraOrodha ya makabila ya TanzaniaShuleMsokoto wa watoto wachangaMunguUkwapi na utaoFasihiDhima ya fasihi katika maishaNzigeIdhaa ya Kiswahili ya Radio TehranTetemeko la ardhiMjasiriamaliMkoa wa MaraYvonne Chaka ChakaMuungano wa Madola ya AfrikaSaratani ya mlango wa kizaziSalaAfrika KusiniAntibiotikiDemokrasiaMpira wa miguuVielezi vya namnaTashbihaUjuziAzimio la ArushaNembo ya TanzaniaMeta PlatformsMimba za utotoniKukuAngahewaMlongeSintaksiMahakama ya TanzaniaMahakamaFonolojiaUfeministiHifadhi ya Mlima KilimanjaroAjuzaGeorge WashingtonRoho MtakatifuNyumbaMichezo ya jukwaaniMashariki ya KatiVitenzi vishirikishi vikamilifuUshairiSkeliGhanaUkristo barani AfrikaMabantuMachweoHeshimaMofolojiaWikipediaViwakilishi vya kuoneshaMkoa wa TaboraUtataMbadili jinsiaMapenziMauaji ya kimbari ya RwandaKiingerezaMbuga za Taifa la TanzaniaBob MarleyKampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya MasharikiRisalaDodoma (mji)ShangaziMkoa wa SingidaMavaziElibariki Emmanuel Kingu🡆 More