Kikwamba

Kikwamba (kutoka kitenzi kwamba, chenye maana ya kusema au kunena) ni aina ya shairi (bahari) ambalo neno la kipande cha kwanza katika kila mshororo hujirudiarudia katika ubeti , kwa mfano:

Kusema yanilazimu, daima sitonyamaza

Kusema yanilazimu, kimya kina nichukiza

Kusema yanilazimu, kipo cha kuwaeleza

Kama kusema ugonjwa, basi niache niumwe.

Tanbihi

Kikwamba  Makala hii kuhusu mambo ya fasihi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kikwamba kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

KitenziMshororoNenoShairi

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

DuniaOrodha ya Magavana wa TanganyikaNamba tasaMitume wa YesuOrodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watuTabainiOrodha ya milima mirefu dunianiRose MhandoHistoria ya WapareMkoa wa ArushaUislamuMitume na Manabii katika UislamuMarekaniEdward SokoineWangoniErling Braut HålandBurundiMjombaAlama ya barabaraniMfumo wa JuaPasifikiJokofuSimbaChepeMkoa wa TangaKiraiWanyamboWaziri wa Mambo ya Ndani (Tanzania)Diamond PlatnumzSitiariUbepariMobutu Sese SekoVielezi vya namnaMapinduzi ya ZanzibarOrodha ya volkeno nchini TanzaniaKatibaKaswendeUkooKiimboBiblia ya KikristoKipindupinduNigeriaDolar ya MarekaniMuhammadMkwawaFananiMofimuNdoa katika UislamuShairiVita Kuu ya Kwanza ya DuniaHistoria ya WokovuUenezi wa KiswahiliWizara za Serikali ya TanzaniaPapaWhatsAppAbedi Amani KarumeViwakilishi vya urejeshiAntibiotikiOrodha ya Marais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya KongoKiongoziMgawanyo wa AfrikaMkoa wa MwanzaUtapiamloBawasiriJoyce Lazaro NdalichakoKiwakilishi nafsiMtoto wa jicho🡆 More