Kichechen

Kichechen ni lugha ya Kikaukazi ya Kaskazini nchini Urusi inayozungumzwa na Wachechen.

Mwaka wa 2010 idadi ya wasemaji wa Kichechen nchini Urusi imehesabiwa kuwa watu 1,350,000. Wachechen wengi, takriban laki moja, wamekimbia nchi yao na kuishi katika nchi za Kazakhstan, Kirgizia, Georgia na nyingine za Asia ya Kati, Mashariki ya Kati au Ulaya. Idadi ya wasemaji katika nchi hizo hazijulikani, ila mwaka wa 2013, wasemaji 3200 walihesabiwa nchini Yordani. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kichechen iko katika kundi la Kinakh.

Viungo vya nje

Kichechen  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kichechen kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

Asia ya KatiGeorgia (nchi)KazakhstanKirgiziaLugha za Kikaukazi ya KaskaziniMashariki ya KatiUlayaUrusiYordani

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

VihisishiGameNyokaWallah bin WallahTungo kishaziMeno ya plastikiKunguruMwarobainiHekaya za AbunuwasiNafsiKatibuBob MarleyIstilahiWiki FoundationBikiraDayolojiaMsukuleSaa za Afrika MasharikiMwai KibakiUlayaSikioNamba ya mnyamaHistoria ya WokovuMuungano wa Tanganyika na ZanzibarTeknolojia ya habariRicardo KakaJumuiya ya Afrika MasharikiOrodha ya Watakatifu wa AfrikaOrodha ya visiwa vya TanzaniaLugha ya taifaMjusi-kafiriMtiViwakilishi vya kuoneshaBahashaMapigo yasiyo ya kawaida ya moyoAmri KumiFacebookKilimoVielezi vya idadiLuka ModricShirley CloeteMethaliMkoa wa KilimanjaroVita Kuu ya Pili ya DuniaKamusi Hai ya Kiswahili MtandaoniVidonda vya tumboMwenge wa UhuruOrodha ya majimbo ya MarekaniNomino za pekeeWachaggaNgano (hadithi)HekayaSayansiJames OrengoMfumo wa nevaNdovuUjimaNdege (uanahewa)Mapambano ya uhuru TanganyikaDubuUbuntuSadakaLuteni KanaliNyaraka za PauloMapacha (kundinyota)ItifakiMauaji ya kimbari ya RwandaYerusalemuEneo la utawalaYesuWajitaFonetikiUlemavu🡆 More