Kiavar

Kiavar ni lugha ya Kikaukazi ya Kaskazini nchini Urusi, Azerbaijan na Georgia inayozungumzwa na Waavar.

Mwaka wa 2010 idadi ya wasemaji wa Kiavar nchini Urusi imehesabiwa kuwa watu 715,000. Pia kuna wasemaji 46,600 nchini Azerbaijan (2011) na 2000 nchini Georgia (2002). Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiavar iko katika kundi la Kiandiki-Avar.

Viungo vya nje

Kiavar  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiavar kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

AzerbaijanGeorgia (nchi)Lugha za Kikaukazi ya KaskaziniUrusi

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

BaraUandishi wa ripotiHarmonizeSikioWahayaSanduku la posta23 ApriliWafiadini wa UgandaMji mkuuMilango ya fahamuKiunzi cha mifupaTamathali za semiDar es SalaamUchaguzi Mkuu wa Tanzania, 2020MariooYesuLigi Kuu Tanzania BaraYohane MbatizajiWilaya za TanzaniaHatua tatu za maisha ya kirohoIdi AminFalsafaBikira MariaRohoKamusi Hai ya Kiswahili MtandaoniUharibifu wa mazingiraNdovuHistoria ya UislamuKajala MasanjaBinamuVita Kuu ya Pili ya DuniaMwaka wa KanisaBahariDagaaHadhiraHistoria ya IsraelPaul MakondaFacebookTungo kiraiMange KimambiMtakatifu PauloHarusiMisemoMkoa wa KilimanjaroZiwa ViktoriaArusha (mji)NambaHerufi za KiarabuBurundiAla ya muzikiLigi ya Mabingwa AfrikaNadhiriSemantikiKanisaMfumo katika sokaDavis MwamunyangeSomo la UchumiOrodha ya miji ya TanzaniaRitifaaJichoUaminifuMitishambaMsalaba wa YesuGoogleBunge la TanzaniaKiingerezaOrodha ya matajiri wakubwa WaafrikaDiniKukiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMatumizi ya LughaBarabaraKibodiAlfabeti🡆 More