Kivunjajungu

Familia 16:

Kivunjajungu
Kivunjajungu kijani wa Ulaya (Mantis religiosa)
Kivunjajungu kijani wa Ulaya (Mantis religiosa)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Arthropoda (Wanyama wenye mwili wa pingili na miguu ya kuunga wasio na ugwe wa mgongo kama wadudu, nge, buibui)
Nusufaila: Hexapoda (Arithropodi wenye miguu sita)
(bila tabaka): Dicondylia (Wadudu walio na mandibula zenye condyle mbili)
Ngeli: Insecta (Wadudu)
Linnaeus, 1758
Nusungeli: Pterygota (Wadudu wenye mabawa)
Oda ya juu: Dictyoptera
Oda: Mantodea
Burmeister, 1838
Ngazi za chini

  • Acanthopidae Burmeister, 1838
  • Amorphoscelididae Stål, 1877
  • Chaeteessidae Handlirsch, 1926
  • Empusidae Burmeister, 1838
  • Epaphroditidae Giglio-Tos, 1915
  • Eremiaphilidae Wood-Mason, 1889
  • Hymenopodidae Giglio-Tos, 1927
  • Iridopterygidae Giglio-Tos, 1919
  • Liturgusidae Giglio_Tos, 1919
  • Mantidae Burmeister, 1838
  • Mantoididae Giglio-Tos, 1927
  • Metallyticidae Chopard, 1949
  • Sibyllidae Giglio_Tos, 1919
  • Tarachodidae Handlirsch, 1930
  • Thespidae Giglio-Tos, 1919
  • Toxoderidae Giglio-Tos, 1919

Vivunjajungu, vunjajungu au katamasikio ni wadudu wadogo hadi wakubwa kiasi wa oda Mantodea (mantis = nabii, eidos = umbo) katika nusungeli Pterygota (wenye mabawa). Wanatokea kanda za tropiki na nusutropiki na kusini (au kaskazini) kwa kanda za wastani. Kiwiliwili chao ni kirefu na chembamba. Miguu ya mbele imetoholewa kwa kukamata arithropodi wengine na hata vertebrata wadogo. Kwa kawaida koksa (coxa) za miguu ya wadudu ni fupi, lakini zile za miguu ya mbele ya vivunjajungu zimerefuka. Femuri na tibia zina miiba na meno inayowezesha mdudu kushika vizuri mawindo yake. Kama takriban wadudu wote vivunjajungu wana toraksi yenye sehemu tatu, lakini ile ya mbele, protoraksi, ni ndefu kuliko mbili nyingine pamoja na imeungwa vinamo na mesotoraksi. Hii inawezesha mdudu asogeze kichwa na miguu ya mbele pande zote wakati kiwiliwili kinatulia. Hata shingo ni kinamo na spishi kadhaa zinaweza kuzungusha kichwa kwa nyuzi 180.

Kivunjajungu
Mabadiliko ya mguu wa mbele: koksa ni ndefu sana na inafanana na femuri. Femuri binafsi ni kiungo cha kwanza cha sehemu ya kukamata ya mguu.

Picha

Kivunjajungu  Makala hii kuhusu mdudu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kivunjajungu kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

C++Uhuru wa TanganyikaJohn Raphael BoccoMtaalaKiwandaMazungumzoHafidh AmeirMauaji ya kimbari ya RwandaMamaGeorge WashingtonUmemeKilwa KisiwaniShangaziUpendoIsimilaKifua kikuuDioksidi kaboniaUgonjwa wa uti wa mgongoWanyakyusaIsraelViwakilishi vya sifaMmeaMapambano kati ya Israeli na PalestinaVivumishi vya kumilikiHistoria ya ZanzibarKiambishi awaliOrodha ya viwanja vya ndege nchini TanzaniaMnazi (mti)Orodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaMivighaNomino za kawaidaTetekuwangaMadiniKinembe (anatomia)HadithiMkoa wa KilimanjaroMkwawaOrodha ya Marais wa MarekaniWanyamweziMtandao pepe binafsiMnyoo-matumbo MkubwaTafsiriAustraliaTausiMizaniKichecheMofimuOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaBob MarleyTanganyikaWanyaturuNominoUjuziMbonoMapambano ya uhuru TanganyikaNgekewaAthari za muda mrefu za pombeJean BalekeMnyamaMaambukizi nyemeleziAlama ya uakifishajiMillard AyoAlasiriDagaaKunguruKajala MasanjaBumbuliSemantikiHistoria ya EthiopiaMhusika (fasihi)🡆 More