Kalunguyeye

Jenasi 5, spishi 6 katika Afrika:

Kalunguyeye
Kalunguyeye tumbo-jeupe (Atelerix albiventris)
Kalunguyeye tumbo-jeupe (Atelerix albiventris)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele)
Oda: Eulipotyphla (Wanyama kama kalunguyeye)
Familia: Erinaceidae (Wanyama walio na mnasaba na kalunguyeye)
Nusufamilia: Erinaceinae
Ngazi za chini

  • Atelerix Pomel, 1848
    • A. albiventris (Wagner, 1841)
    • A. algirus (Lereboullet, 1842)
    • A. frontalis (Smith, 1831)
    • A. sclateri (Anderson, 1895)
  • Erinaceus Linnaeus, 1758
  • Hemiechinus Fitzinger, 1866
    • H. auritus Fitzinger, 1866
  • Mesechinus Ognev, 1851
  • Paraechinus Trouessart, 1879
    • P. aethiopicus (Ehrenberg, 1832)

Kalunguyeye ni wanyama wenye miiba wa nusufamilia Erinaceinae katika familia Erinaceidae.

Wanyama wengine walio na miiba ni nungunungu na ekidna, lakini hawa hawana mnasaba mmoja na kalunguyeye. Nungunungu wamo katika oda ya wagugunaji (Rodentia) na ekidna katika oda ya mamalia wanaotaga mayai (Monotremata).

Mara nyingi kalunguyeye huitwa walawadudu (oda ya zamani Insectivora). Kwa kweli hula wadudu na arithropoda wengine, nyungunyungu, konokono, vyura, nyoka, mayai ya ndege, mizoga, nyoga, mizizi ya nyasi, beri na matikiti.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha

Viungo vya nje

Kalunguyeye 
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:
Kalunguyeye 
Wiki Commons ina media kuhusu:

Tags:

Kalunguyeye Spishi za AfrikaKalunguyeye Spishi za mabara mengineKalunguyeye PichaKalunguyeye Viungo vya njeKalunguyeye

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Nomino za kawaidaTetekuwangaZama za MaweShikamooPhilip Isdor MpangoUchapajiKiambishi awaliKiswahiliKaswendeKichochoKylian MbappéWairaqwSteven KanumbaFacebookTupac ShakurVokaliJogooMkoa wa KigomaNomino za wingiUhifadhi wa fasihi simuliziHadhiraMichezoMkoa wa ManyaraWabondeiWahangazaUtataUaTanzaniaSilabiIsimujamiiNgiriAgano la KaleKitabu cha Yoshua bin SiraDuniaTarbiaOrodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watuMtoto wa jichoWanyama wa nyumbaniMaarifaKima (mnyama)MagimbiHadubiniShetaniNgonjeraOsama bin LadenTafsiriUhuru wa TanganyikaCristiano RonaldoMagonjwa ya kukuNgw'anamalundiDolar ya MarekaniVivumishi vya pekeeLigi ya Mabingwa AfrikaVita Kuu ya Pili ya DuniaTamathali za semiChepeMachweoKatibaNenoMohammed Gulam DewjiUgandaNominoManchester CitySakramentiKombe la Mataifa ya AfrikaWanyamaporiHistoria ya WokovuVivumishi vya kumilikiMkoa wa ShinyangaAlmasiMbuIstilahiLughaFonolojia🡆 More