Emmy Award au Tuzo za/ya Emmy (pia inajulikana kama 'Emmy') ni tuzo ya matayarisho ya televisheni.
Kwa asili inaonekana kufanana na tuzo za Peabody, lakini hii inashughulika sana na masuala ya burudani, na itazamika kuwa iko sawa na kile kipindi cha televisheni cha Academy Award (kwa ajili ya filamu), Grammy Award (kwa ajili ya muziki) na Tony Award (kwa ajili ya maigizo).
Emmy | |
Hutolewa kwa ajili ya | Kufanya vizuri sana katika televisheni |
Hutolewa na | ATAS/NATAS |
Nchi | Marekani |
Imeanza kutolewa mnamo | 1949 |
Hutoa zawadi kwa ajili sekta mbalimbali ya soko la televisheni, ikiwemo na vipindi vya burudani, habari na makala ya TV, na vipindi vya michezo. Kwa maana hiyo, zawadi hutolewa katika kila baadhi ya maeneo ambapo sherehe hizi hufanyika kila ifikapo baada ya mwaka.
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Emmy kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Emmy, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.