Bollywood (Kihindi: बॉलीवुड, Kiurdu: بالی وڈ) ni neno la kutaja tasnia ya filamu za lugha ya Kiurdu-Kihindi huko nchini India.
Kwa ujumla hutajwa kama Sinema za Kihindi, lakini hiyo si sahihi. Bollywood hutaja filamu za lugha ya Kihindi tu, basi. Istilahi ya Bollywood inaunganisha Bombay na Hollywood (ambapo filamu nyingi za Kimarekani zinatengenezwa).
Bollywood hutengeneza filamu nyingi sana kwa mwaka. Filamu nyingi za Bollywood huitwa Masala. Kwa Kihindi, Masala ina-maana ya viungo. Filamu hizi huwa na kiwango cha juu sana cha kimahaba, visasi, na hali ya utajiri na umaskini ndani yake.
Filamu zinazotayarishwa Bollywood kwa kawaida huwa kwa lugha ya Kihindi. Hindustani, sehemu mashuhuri kote kwa Kihindi na Kiurdu. Bollywood hutengeneza filamu zake kwa lugha ya Kihindi, Urdu na Kiingereza.
Mtahakiki wa filamu Lata Khubchandani ameandika,"..filamu zetu za awali...(zilikuwa)na uhuru wa sehemu za kubusiana na mapenzi ndani yake. Cha-kushangaza, ilikuwa baada ya Uhuru bodi ya sensa imeingilia kati na ikabadilisha kila kitu."
historyczni
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Bollywood, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.