Bayer 04 Leverkusen ni klabu iliyoanzishwa mwaka 1904 na wafanyakazi wa kampuni ya dawa ya Ujerumani Bayer, ambao makao makuu yake yako Leverkusen ambayo klabu hiyo inaitwa jina lake.
Ilikuwa ni idara inayojulikana zaidi ya TSV Bayer 04 Leverkusen, klabu ya michezo ambao wanachama wake pia wanahusika katika mpira wa kikapu na michezo mingine ikiwa ni pamoja na RTHC Bayer Leverkusen (tenisi na hockey).
Mwaka 1999 idara ya mpira wa miguu ilitenganishwa na klabu ya michezo na sasa ni taasisi tofauti inayoitwa Bayer 04 Leverkusen.
Bayer Leverkusen imeshinda DFB-Pokal moja na Kombe la UEFA moja.Wapinzani wao wa ndani ni FC Köln.
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu zaidi kuhusu Bayer 04 Leverkusen kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Bayer 04 Leverkusen, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.