Abrahamu wa Minuf (aliishi karne ya 4) ni kati ya Wakristo wamonaki wa Misri, mwanafunzi wa Pakomi.
Baada ya miaka 23 aliruhusiwa kuishi kama wakaapweke pangoni aliotoka kwa ajili ya kupokea ekaristi tu, kila baada ya miaka 2-3, hadi alipofariki miaka 16 baadaye.
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 21 Mei.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Abrahamu wa Minuf, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.