Barbra Streisand (amezaliwa na jina la Barbara Joan Streisand mnamo tar.
24 Aprili 1942) ni mwimbaji na mwigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani. Pia amepata kufahamika zaidikama mtunzi, mwanaharakati huria wa kisiasa, mtayarishaji wa filamu, na mwongozaji. Ameshinda tuzo mbili za Academy, tisa za Grammy, nne za Emmy, Special Tony Award, na ni mmoja kati ya waburudishaji wachache waliowahi kupata tuzo zote hizi, ingawa bado hajapata kushinda tuzo za ushindani za Tony.
Barbra Streisand | |
---|---|
at the Governor's Ball for the 1995 Emmy Awards. | |
Maelezo ya awali | |
Amezaliwa | 24 Aprili 1942 Brooklyn, New York, U.S. |
Aina ya muziki | Traditional Pop, Adult Contemporary, Broadway |
Kazi yake | Mwimbaji, mwigizaji, mtayarishaji, mwongozaji |
Miaka ya kazi | 1957–hadi leo |
Studio | Columbia |
Tovuti | BarbraStreisand.com |
Makala hii kuhusu mwanamuziki/wanamuziki fulani wa Marekani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Barbra Streisand kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
This article uses material from the Wikipedia Kiswahili article Barbra Streisand, which is released under the Creative Commons Attribution-ShareAlike 3.0 license ("CC BY-SA 3.0"); additional terms may apply (view authors). Maudhui yanapatikana kwa chini ya CC BY-SA 4.0 isipokuwa iwe imebainishwa vinginevyo. Images, videos and audio are available under their respective licenses.
®Wikipedia is a registered trademark of the Wiki Foundation, Inc. Wiki Kiswahili (DUHOCTRUNGQUOC.VN) is an independent company and has no affiliation with Wiki Foundation.