Kisotho-Kaskazini

Kisotho-Kaskazini (pia Kipedi) ni lugha ya Kibantu hasa nchini Afrika Kusini inayozungumzwa na Wasepedi.

Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kisotho-Kaskazini nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu zaidi ya milioni nne. Pia kuna wasemaji 11,000 nchini Botswana. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisotho-Kaskazini iko katika kundi la S30.

Kisotho-Kaskazini.

Viungo vya nje

Kisotho-Kaskazini  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kisotho-Kaskazini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tags:

2006Afrika KusiniBotswanaLughaLugha za KibantuMalcolm Guthrie

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

Orodha ya Marais wa MarekaniStadi za lughaJacob StephenFonimuHaki za binadamuMeliHadubiniRitifaaKanga (ndege)KiburiHistoria ya WokovuTenziMapinduzi ya ZanzibarWairaqwOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaMapachaUtamaduniNileOrodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifaDoto Mashaka BitekoFamiliaMkoa wa MbeyaOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaNyasa (ziwa)Mkoa wa DodomaAmfibiaTanganyikaUmaskiniLahaja za KiswahiliVivumishi ya kuulizaIdara ya Usalama wa Taifa (Tanzania)YouTubeZana za kilimoKaaFutiMwanzoUkooMariooNelson MandelaMapenzi ya jinsia mojaNg'ombeWanyamweziImaniKhadija KopaDamuUfahamuHistoria ya AfrikaNandyPunyetoUbongoOrodha ya vitabu vya BibliaNomino za wingiLahajaAina za manenoInsha za hojaMfumo wa mzunguko wa damuLughaKaswendePesaPhilip Isdor MpangoMfumo wa JuaKata (maana)MofolojiaVivumishi vya kuoneshaVitenzi vishiriki vipungufuAslay Isihaka NassoroMapambano kati ya Israeli na PalestinaTabiaNikki wa PiliWanyamaporiTabianchi ya TanzaniaChuo Kikuu cha Dar es SalaamHisia🡆 More