Julai: Mwezi wa saba katika mwaka

Mwezi wa Julai ni mwezi wa saba katika Kalenda ya Gregori.

Jun - Julai - Ago
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30 31
Kalenda ya Gregori

Jina lake limetokana na jina la Julius Caesar wa Warumi (angalia pia Kalenda ya Juliasi). Kwa asili, mwezi huo wa Julai ulikuwa mwezi wa tano katika kalenda ya Warumi, na jina lake lilikuwa Quintilis kulingana na neno la Kilatini quintus, maana yake ni "wa tano". Mwaka wa 153 KK, mwanzo wa mwaka ulitanguliza miezi miwili kutoka Machi kwenda Januari, na maana ya jina Quintilis ilipotea. Mwaka wa 44 KK, Quintilis ilibadilika kuitwa Julai (kwa Kilatini Julii).

Julai ina siku 31, na inaanza na siku ya juma sawa na mwezi wa Aprili; na katika mwaka mrefu (wenye siku 366), siku yake ya kwanza pia ni sawa na mwezi wa Januari.

Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:

Tags:

153 KK44 KKJanuariJulius CaesarKKKalenda ya GregoriKalenda ya JuliasiKilatiniMachiWarumi

🔥 Trending searches on Wiki Kiswahili:

KonsonantiZabibuShuleKitenzi kishirikishiUpendoIntanetiMashariki ya KatiRamaniMlo kamiliMajira ya mvuaVielezi vya namnaMalengo ya Kiswahili kuwa lugha ya taifaTungo kishaziUtoaji mimbaWimboDaktariBurundiMisemoMamaJeshi la Ulinzi la Wananchi wa TanzaniaKitomeoMkoa wa SingidaVenance Salvatory MabeyoTendiLugha ya maandishiHoma ya matumboTanganyikaKarafuuBarack ObamaNg'ombeAla ya muzikiMandhariManchester United F.C.Homa ya mafuaC++Unyanyasaji wa kijinsiaMsituUhalifu wa kimtandaoMji mkuuWayahudiMeja JeneraliOrodha ya wanamuziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya KongoFalme za KiarabuHadithi za Mtume MuhammadFasihi simuliziTungo sentensiNgono zembeUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya miji ya TanzaniaMamba (mnyama)Ali Hassan MwinyiNuktambiliHistoria ya WasanguBabeliUlayaUgonjwa wa kuambukizaUfugajiOrodha ya Magavana wa TanganyikaBara la AntaktikiHaki za binadamuVivumishi vya urejeshiHadithiUharibifu wa mazingiraMfumo wa upumuajiDubaiMisimu (lugha)NigeriaHifadhi ya mazingiraJulius NyerereWagogoUchumiVihisishiKalenda ya KiislamuMtiLafudhiDuniaUandishi wa ripoti🡆 More